Karibuni kwa ushauri

Karibuni kwa ushauri

Walifunga ndoa bomani, hivi inarudiwa tena kanisani na wanawatoto tayari.
Sina Shobo mzee nina majukumu yangu ila tu nimeombwa ushauri.
Sana sana nadhani ni ushauri jinsi ya kumrudisha kidume mwenzetu kwenye afya kamili.
Ushauri mwema ntakaopata hapa nitampa aliyeuhitaji.
Achana nao,angalia maisha yako,unajitumbukiza kwenye mtego bila kujijua,sikiliza maneno ya wakubwa hapa,

Matatizo yao wewe hayakuhusu,huyo Mwanamke ni muongo wala Mwanaume wake hana tatizo lolote,alijilengesha tu kwako kwa kutumia hiyo gia,

Acha shobo na maisha ya watu utapigwa paipu shauri yako,kata mawasiliano nae kabisa.
 
Anampenda lkn anatoa siri zake nje!!! Muda utaamua Kama kutakuwa na ndoa au madoa.
 
Kimsingi anamaanisha kuwa wewe unamkuna vilivyo😊. Anakuskilizia kama utaendelea kumpa huo msaada.

Kwa kifupi mwana ameyakanyaga na kuyatimba. Na huyo mwanamke ni mpuuzi...ipo siku na wewe atakuingiza katika upuuzi, tuombee tu isiwe siku mbaya.

Hapo wewe jifanye daktari mpe ingredients za kumpa mme wake wajaribu taratibu, kama vile awe anampikia uwatu, vyakula vyenye karanga, mkate wenye asali na kupunguza mafuta.
 
Halafu jamaa unamdharau kinoma baada ya kuwa umemgongea, umemwita msomi anaemiliki vyeti🤣🤣🤣.

Yani maana yake maarifa hana🤣🤣.
Dah mi nikimfumania mtu kwa kweli nitamtafuta kwa njia zangu nimpe acid anawie uso.

Awe haoni tena matit* na makalio mazuri ya wanawake za watu🤣🤣
 
Back
Top Bottom