Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,546
Hamjambo humu ndani?
Baada ya miaka 37 ya kutapatapa katika dimbwi la usingoboi hatimaye ndugu yenu natarajia kujipatia jiko mwaka huu mwezi wa 8 au wa 9 hivi. Karibuni sana.
Shemeji yenu nimempata humu humu JF...sikutaka kujitaabisha mpaka huko FB au insta kwa wafilisiti.
Nimeamua niwapatie taarifa mapema ili kama humu huwa kuna utaratibu wa kuchangiana mnichangie aisee maana nataka nifanye bonge la sherehe ambayo haijawahi tokea hapa jijini Mbeya.
Siku shemeji yenu akinipa jibu la Yes I do ntampost na ntamuweka hadharani ili uwe ushuhuda kwa wanaJF wote.
Mniombee sana ili anikubalie bila kinyongo.
Asanteni na niwatakie usiku mnono nyote.
Baada ya miaka 37 ya kutapatapa katika dimbwi la usingoboi hatimaye ndugu yenu natarajia kujipatia jiko mwaka huu mwezi wa 8 au wa 9 hivi. Karibuni sana.
Shemeji yenu nimempata humu humu JF...sikutaka kujitaabisha mpaka huko FB au insta kwa wafilisiti.
Nimeamua niwapatie taarifa mapema ili kama humu huwa kuna utaratibu wa kuchangiana mnichangie aisee maana nataka nifanye bonge la sherehe ambayo haijawahi tokea hapa jijini Mbeya.
Siku shemeji yenu akinipa jibu la Yes I do ntampost na ntamuweka hadharani ili uwe ushuhuda kwa wanaJF wote.
Mniombee sana ili anikubalie bila kinyongo.
Asanteni na niwatakie usiku mnono nyote.