Karibuni kwenye harusi yangu

Karibuni kwenye harusi yangu

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,403
Reaction score
2,546
Hamjambo humu ndani?

Baada ya miaka 37 ya kutapatapa katika dimbwi la usingoboi hatimaye ndugu yenu natarajia kujipatia jiko mwaka huu mwezi wa 8 au wa 9 hivi. Karibuni sana.

Shemeji yenu nimempata humu humu JF...sikutaka kujitaabisha mpaka huko FB au insta kwa wafilisiti.

Nimeamua niwapatie taarifa mapema ili kama humu huwa kuna utaratibu wa kuchangiana mnichangie aisee maana nataka nifanye bonge la sherehe ambayo haijawahi tokea hapa jijini Mbeya.

Siku shemeji yenu akinipa jibu la Yes I do ntampost na ntamuweka hadharani ili uwe ushuhuda kwa wanaJF wote.
Mniombee sana ili anikubalie bila kinyongo.

Asanteni na niwatakie usiku mnono nyote.
 
Hongera sana kwa kuoa ukiwa matured nina imani na mkeo mtarajiwa nae mkubwa pia wengine hata age yako hatujafika.. ila tumeshafunga ndoa at 27 na watoto na mpaka divorce zimetujia katika age wewe upo singo
 
Back
Top Bottom