Karibuni kwetu Kwamtogole kula Iddi

Karibuni kwetu Kwamtogole kula Iddi

2a5238d141cea064ec2e18b252774cc9.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi kumbe TZ Eid ni mpaka Monday? Wengine tupo tunajongea kwa majirani kulamba pilo
 
Huu mualiko bado ni valid?

Haki ya nani nakuja kama ni kweli.
Wala sina makuu. Mi sunna tu.
 
Nimechelewa kuuona huu mwaliko,ila ntakuja afta shawwal
 
Back
Top Bottom