Elekeza vzr tlnije maana familia wameenda kwa ndgWapendwa Karibuni pilau ya Idd Kwamtogole kuanzia vs a a saba mchana.
Aamin!Pole sana Mungu akutie nguvu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sa sie wakata suruali tumekinukisha leo na kesho pia tumo!miye BAKWATA idy kesho
Ahaa nakupa haii[emoji3][emoji3] wacha niwahi kwanza pilau lako huku nikijiandaa kupitia mwananayamala kwa Ivuga.
Nini?
mnafata mwezi wa SaudiaSa sie wakata suruali tumekinukisha leo na kesho pia tumo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umesahau leo siku gani ? Sijaona mwaliko inboboAhaa nakupa haii
Daaaa nimesahau kabisa mishe mishe nying swahibUmesahau leo siku gani ? Sijaona mwaliko inbobo
Naona.Daaaa nimesahau kabisa mishe mishe nying swahib
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Naona.
Haya bwana Eid mubarak