Karibuni Lesotho (Maseru) tufanye biashara

Boss nime ku-PM.
 
Safi saana mkuu Ubarikiwe kwa kuweka Ukweli juu ya hili.
Maana hapa kuna watu wanatengeneza kamtandao fulani hivi ka kupiga wenzao kwa style style fulani ya Kolabo
Nikweli mkuu ulosema dunia imechange ss watu tumekuwa washenzi balaa so muhimu tuwe makini kwani wazee wa kazi za kuliza wapo wengi
 
Pesa ipo? Nina ndugu zangu watatunnataka nieatume hapo Lesotho chap!
 
Kazi za Ulinzi,madereva na ile KONGWE zinapatikana kwa wingi hapa. Watu wamejenga bongo wasiliana na wakala wetu Lulu Dar es Salaam 0754559635
Hiyo uliyoita kongwe isiwe kudanga maana pisi za kule zilivo class A,. Hadi kuku wa kienyeji ni pisi kali. Wa huku hawa waliochomwa mikorogo hawez kupata hata mteja wa kuonjesha!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji117][emoji117][emoji117]
 
Wadau karibuni tutumie fursa za biashara hapa mjini MASERU
Mimi kama mzee "kifimbo cheza" kabla sijakutia bakora tufahamishe hapa mfereji maringo na kazi kongwe ndio kazi gani Hizi? "la sivyo ni mikwaju tu mda si mrefu. 😁😁😁😁
 
Mimi kama mzee "kifimbo cheza" kabla sijakutia bakora tufahamishe hapa mfereji maringo na kazi kongwe ndio kazi gani Hizi? "la sivyo ni mikwaju tu mda si mrefu. 😁😁😁😁
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Vip pana mrejesho wowote wa Chaka bovu la Maseru uzuri wa hapo wana viwanda vya kutengeneza viatu vya shule hizi za watoto vingi vinavyouzwa SA vinapatikana hapo ila hakuna kitu hapo bora ubaki zako Tabora tu lolote linaweza kutokea kuliko huko ukaenda kupigwa na baridi la hatari utadhani linataka kuondoka na mbavu...
 
Lete mterejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…