Karibuni mabingwa wa kuchapia utupe mchapio wako

Askari Muoga

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
6,113
Reaction score
4,658
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe
 
I always find it funny mtu akichapia. Niliwahi kumcheka Mwalimu wangu wa Chemistry nikiwa kidato cha pili.
 
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe

Hii michapio naikumbuka tangu nikiwa Chuo Kikuu na mingine imepigwa hivi karibuni.

Mbezi Mbichi - Mbezi Beach
Mambusho - Makumbusho
Twanga Pepepa - Twanga Pepeta
Kwato - Kwaito
Elfu Mbali - Elfu Mbili
YouChube - YouTube
Housing ya Miwani - Fremu ya Miwani
January Makwamba - January Makamba
Wema Shepetu - Wema Sepetu
Samba na Yanga - Simba na Yanga
Agari ya jali - Ajali ya Gari
Shuti - Suti
Maza Hauti - Mother House
 
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe
serikali imeamua kubuni mbinu....kumradhi! Serkali imeamuna kumbuni binu ! samahani kidogo ! serikali imeamua kumbinu buni .....alisikika mtangazaji mmoja wa TV akipata shida na mhariri akamuuliza mbona anapachia sana leo wakati wa kusoma habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…