Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]kwanini hamumtoi Bashite kwenye "Font Fedi"
[emoji23]Darasa la Saba mna Dharau sana Naongea nyie mmeweka Mifuko Mkononi.....Mwl wangu mmoja hivi.
Huyo bila shaka alikuwa mjaluoNenda ukanyooshe SHATI YA SHULE-Nenda ukanyooshe SHULE YA SHATI[emoji2]
nimechapia mfupa hauna ulimiNainga mkonyo hoja......@loading
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe
serikali imeamua kubuni mbinu....kumradhi! Serkali imeamuna kumbuni binu ! samahani kidogo ! serikali imeamua kumbinu buni .....alisikika mtangazaji mmoja wa TV akipata shida na mhariri akamuuliza mbona anapachia sana leo wakati wa kusoma habariAsante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe
Mkuu nasubiria tafiti zako![emoji4][emoji4][emoji4]Kichwa chini Mijuu guu
Upo wapi sasahivi? Nataka nitume vijana wangu waje wakuchukue maramojaMkuu nasubiria tafiti zako![emoji4][emoji4][emoji4]