Karibuni mabingwa wa kuchapia utupe mchapio wako

Karibuni mabingwa wa kuchapia utupe mchapio wako

Askari Muoga

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
6,113
Reaction score
4,658
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe
 
I always find it funny mtu akichapia. Niliwahi kumcheka Mwalimu wangu wa Chemistry nikiwa kidato cha pili.
 
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe

Hii michapio naikumbuka tangu nikiwa Chuo Kikuu na mingine imepigwa hivi karibuni.

Mbezi Mbichi - Mbezi Beach
Mambusho - Makumbusho
Twanga Pepepa - Twanga Pepeta
Kwato - Kwaito
Elfu Mbali - Elfu Mbili
YouChube - YouTube
Housing ya Miwani - Fremu ya Miwani
January Makwamba - January Makamba
Wema Shepetu - Wema Sepetu
Samba na Yanga - Simba na Yanga
Agari ya jali - Ajali ya Gari
Shuti - Suti
Maza Hauti - Mother House
 
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu
1:Twende sokoni- Twende chokoni
2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola
Aya Endelea nawe
serikali imeamua kubuni mbinu....kumradhi! Serkali imeamuna kumbuni binu ! samahani kidogo ! serikali imeamua kumbinu buni .....alisikika mtangazaji mmoja wa TV akipata shida na mhariri akamuuliza mbona anapachia sana leo wakati wa kusoma habari
 
Back
Top Bottom