Karibuni mabingwa wa kuchapia utupe mchapio wako

Mohammed Said alishawahi kuandika "Chuo Kikuu cha ....University" nikaangalia nikacheka sana.

Kuna mwingine alikuwa na thread inayoongelea "ex boyfriends wa zamani".
 
Mkuki kwa mchungu,kwa binadamu nguruwe.
 
Agali ya jali
 
Unanikumbusha mwalimu wetu alitukana class sasa ile tumemmind akasema "SAMAHANINI ULIMI HAUNA MFAPA" asee tulicheka basi akajitetea tena "JAMANI NIMECHAPIA KITOJO" [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
1》Singa na Yamba wanacheza Leo
Simba na yanga wanacheza leo

2》kaka nimepata ndili
Kaka nimepata dili
 
"Mama mabakulu yao yamejaa mboga"
akimaanisha "mama mabakuli yao yamejaa mboga" siku hiyo niilicheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…