Nipo njiani nakuja kuwa-join WakuuKaribu sana, tunaangusha mbuzi 70, ng'ombe 15 ni nyama choma tu
Sema kweli!Ndugu zangu, hapa nilipo nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya mjomba wangu kufanikiwa kukomboa kikoba cha ukoo kilichokuwa kwenye hatihati.
Wanachama wa kikoba tafadhali malizieni ada zenu za uanachama ili wajanja tuje kuzisasambua hapa machame.
Christmass hii itakuwa bomba sana.
On my way Chief 🤗Karibu kamanda, peopleeees!
Wanakuletea Pesa Wanyooshe Sana Mpaka Maji Waite MmaaNaam