Karibuni nitapata Shilingi milioni 100: Naomba ushauri wa namna ya kuiwekeza

Karibuni nitapata Shilingi milioni 100: Naomba ushauri wa namna ya kuiwekeza

mimi nikipata million 100.kitu cha kwanza lazima sanchoka na poshyqueen niwachakate.itafaa kama ntawachata kwa mpigo.huyu ananyonya koni mwingine ananipa denda.maisha saaaaafi kabsa


mawazo yangu na yaheshimiwe.sema amen
 
Mkuu kwa mtaji wa milioni 100 Forexi na bitcoins kuingiza milioni 10 kwa wiki ni kama unamsukuma mlevi🤣🤸🐒

Angalizo : Kaa mbali na biashara za kudanlodi pesa !
Mkuu hapa kwa trader aliyeiva na alie tayari kujilipua kwa lotsize za kibabe kwa hiyo 100 anaweza kukunja 5mil kwa siku bila stress ya aina yoyote.
 
Bado aisee, hebu elezea vizuri. Hivyo viwanja vya michezo ndio umeniacha
Mi natafuta Ekari 5 tu, pembezoni mwa Jiji la Dar.
Nikizipata najihesabia millionea.
Sigara Club Temeke Chang'ombe pana Ekari Nne tu.
Kuna viwanja viwili vya footbal, kimoja cha Basketball, kimoja cha Netball na ukumbi wa starehe.
Wajuzi mmenielewa.
 
Bado aisee, hebu elezea vizuri. Hivyo viwanja vya michezo ndio umeniacha
Kwakuwa hakuna majukwaa viwanja viwili vya football vinachukua eneo la Ekari mbili na nusu.
Nusu Ekari inatosha kiwanja cha Basketball na Netball.
Jumla ni Ekari tatu.
Ekari moja ni ukumbi wa starehe na majiko ya nyamachoma, wali, ugali
nk.
Kumbuka Ekari moja ni eneo la mita 70 × 70. 4,900m
Kiwanja cha mpira kimoja ni mita 50 × 100= 5000m
Nusu Ekari ni 2,450m
Jumla ni eneo la mita za mraba 12350

Ekari Tano zina jumla ya eneo la mraba 4900 × 5 = 24500. Na chenji inabaki.

Nipo Bar tunazundua Bia ya Henken, masahihisho yanakaribishwa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 una hatari Mkuu usimchuuze huyu mwenzetu akauvaa huu mkenge wa Bitcoin/Cryptocurrency.

Mkuu kwa mtaji wa milioni 100 Forexi na bitcoins kuingiza milioni 10 kwa wiki ni kama unamsukuma mlevi🤣🤸🐒

Angalizo : Kaa mbali na biashara za kudanlodi pesa !
 
🤣🤣🤣🤣🤣 una hatari Mkuu usimchuuze huyu mwenzetu akauvaa huu mkenge wa Bitcoin/Cryptocurrency.
Unaambiwa huko unaingiza pesa huku unasoma magazeti na kunywa kahawa, wanasema hela ndio inakufanyia kazi🤣
 
Tafuta shamba pembezoni mwa Jiji la Daresalaam.
Hasa upande wa Kongowe, Vikindu, mwasonga ambapo ni karibu na Jiji la Dar. Au Msanga Kisarawe.
Hapo hukosi ekari 10-20, kwa Tsh, 50m.
Then wekeza hapo.
Au liache baada ya miaka miwili unaliuza 150m.
10m fukia Mashimo.
40 weka Benki utafakari cha kufanya.

NB
Shamba nunua kwa Serikari ya Kijiji. Sio kwa mtu.

Msanga kuna mashamba ya kununua toka kwa vijiji??Bei ikoje???
 
Msanga kuna mashamba ya kununua toka kwa vijiji??Bei ikoje???
Hata kama utalipata kwa mtu binafsi, ktk manunuzi washirikishe viongozi wote wa kijiji.
Anza na Mjumbe wa kitongoji
Mwenyeki wa kitongoji
Mwenyekiti wa Kijiji
Mtendaji wa kijiji
Uhakikisha wote wanasaini kwenye hati ya manunuzi.
Bei ya mashamba maeneo ya Pwani vijijini wastani ni 4m hadi 8m kwa Ekari moja.
 
Njoo huku kusini baadae ya miezi miwili msimu wa korosho unaanza. Unanunua kilo moja kwa shilingi elfu moja baadaye unauza chama cha msingi kwa 2500.
 
Habari wadau!

Kuna mchongo nausikilizia wa milion 100, wazungu wanasema "easy money" sija-sweat sijui hata nitazifanyia nini masikini.

Itakuwa mbaya zaidi kama hundi ya pesa itadondoshwa harafu sijajua cha kufanya. Nipeni wazo niifanyie nini?
Njoo huku toroka uje tuyajenge Mkuu

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo plan ni kujenga viwanja vya michezo?
Kwakuwa hakuna majukwaa viwanja viwili vya football vinachukua eneo la Ekari mbili na nusu.
Nusu Ekari inatosha kiwanja cha Basketball na Netball.
Jumla ni Ekari tatu.
Ekari moja ni ukumbi wa starehe na majiko ya nyamachoma, wali, ugali
nk.
Kumbuka Ekari moja ni eneo la mita 70 × 70. 4,900m
Kiwanja cha mpira kimoja ni mita 50 × 100= 5000m
Nusu Ekari ni 2,450m
Jumla ni eneo la mita za mraba 12350

Ekari Tano zina jumla ya eneo la mraba 4900 × 5 = 24500. Na chenji inabaki.

Nipo Bar tunazundua Bia ya Henken, masahihisho yanakaribishwa.
 
Back
Top Bottom