Ndio Mkuu, michezo una kusanya watu wengi.
Kwa pembeni unaweka Vyakula na Vinywaji.
Kama ilivyo pale viwanja vya Sigala Temeke Chang'ombe.
Fungua kampuni ya kubet upige hela za wajinga
Million 100 h
Zinatosha ngapi mkuuMillion 100 haitoshi
Kwahiyo kuna watu wanadownload pesa kimasihara?Mkuu kwa mtaji wa milioni 100 Forexi na bitcoins kuingiza milioni 10 kwa wiki ni kama unamsukuma mlevi🤣🤸🐒
Angalizo : Kaa mbali na biashara za kudanlodi pesa
Ha ha haha hahaha hahamimi nikipata million 100.kitu cha kwanza lazima sanchoka na poshyqueen niwachakate.itafaa kama ntawachata kwa mpigo.huyu ananyonya koni mwingine ananipa denda.maisha saaaaafi kabsa
mawazo yangu na yaheshimiwe.sema amen
Kama alivyofanya Mnyeti wa Gwambina FC.Kama ni hivyo hilo ni wazo zuri sana. Ata mm kuna kipindi niliwaza hawa matajiri walio jaliwa mabilioni ya pesa wanashindwa nn hii kitu. Ukiwa na mabilioni yako unajenga tu uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu hapa Dar es Salaam, yaani uwanja uwe wa kisasa kweli kisha kazi yako unakuwa unazikodisha timu zinatumia.
Wapo, yaani anaamka anasoma gazeti akimaliza kunywa chai tayari 500,000 imeingia, anaenda Masaki au Oysterbay anafanya meeting mbili tatu halafu anapata lunch anapokea email 1,000,000 imeingia akitoka hapo anampitia baby wake kutoka kazini anampeleka shopping anarudi kwenye apartment yake na baby anaangalia CNN au BBC kujua dunia inaendaje anapokea email tena 500,000 imeingia...ndio maisha ya walioiweza forexi hao🤣🐒🤸Kwahiyo kuna watu wanadownload pesa kimasihara?
Chukua kiasi cha pesa nunua bond kupitia broker huku unatafakari ishu zingine Za kutengeneza pesaHabari wadau!
Kuna mchongo nausikilizia wa milion 100, wazungu wanasema "easy money" sija-sweat sijui hata nitazifanyia nini masikini.
Itakuwa mbaya zaidi kama hundi ya pesa itadondoshwa harafu sijajua cha kufanya. Nipeni wazo niifanyie nini?
MFANO AKIWEKA HIYO 100M FIXED ACCOUNT NMB KWA MIEZI 3 ANAWEZA KUGAIN NGAPI KWA RIBA YA SASA?Hahahaha akija stuka kabaki na milioni mbili unusu. Mkuu TheDreamer Thebeliever believer
Chukua 25 million cheza nayo kisha 75 kafungue fixed deposit ya miezi sita au mwaka kutegemea na riba wanayotoa.
MFANO AKIWEKA HIYO 100M FIXED ACCOUNT NMB KWA MIEZI 3 ANAWEZA KUGAIN NGAPI KWA RIBA YA SASA?
Mkuu pole sana unahangaika na comment za forex kila mahali.Wapo, yaani anaamka anasoma gazeti akimaliza kunywa chai tayari 500,000 imeingia, anaenda Masaki au Oysterbay anafanya meeting mbili tatu halafu anapata lunch anapokea email 1,000,000 imeingia akitoka hapo anampitia baby wake kutoka kazini anampeleka shopping anarudi kwenye apartment yake na baby anaangalia CNN au BBC kujua dunia inaendaje anapokea email tena 500,000 imeingia...ndio maisha ya walioiweza forexi hao🤣🐒🤸
Ahsante sana😊Mkuu pole sana unahangaika na comment za forex kila mahali.
Utapeli umeshamiri sana tena wanashirikiana na wenyeviti wa vijiji, mie nilikuta wameuza heka zangu baadhi na za watu wengine nilikomaa na mwenyekiti zikarudi fasta waliouziwa kiutapeli ikala kwao ,ni maeneo ya kibahaHata kama utalipata kwa mtu binafsi, ktk manunuzi washirikishe viongozi wote wa kijiji.
Anza na Mjumbe wa kitongoji
Mwenyeki wa kitongoji
Mwenyekiti wa Kijiji
Mtendaji wa kijiji
Uhakikisha wote wanasaini kwenye hati ya manunuzi.
Bei ya mashamba maeneo ya Pwani vijijini wastani ni 4m hadi 8m kwa Ekari moja.
Ndio maana ni lazima uwashirikishe viongozi wa ngazi zote wa Kijiji, pia ni lazima ufanye utafiti wa Historia ya Shamba husika.Utapeli umeshamiri sana tena wanashirikiana na wenyeviti wa vijiji, mie nilikuta wameuza heka zangu baadhi na za watu wengine nilikomaa na mwenyekiti zikarudi fasta waliouziwa kiutapeli ikala kwao ,ni maeneo ya kibaha