Karibuni sana Kariobangi Sharks, mjipigie Yanga goli 2 tu

Vipi mzee baba, umeiona hii Yanga ilivyo tamu? Mbaya zaidi nje kuna kikosi kingine kilichokamilika ukiondoa yale majembe yetu yaliyoko CHAN! Hakika tumeshawasha mitambo.
 
Vipi mzee baba, umeiona hii Yanga ilivyo tamu? Mbaya zaidi nje kuna kikosi kingine kilichokamilika ukiondoa yale majembe yetu yaliyoko CHAN! Hakika tumeshawasha mitambo.
Utamu upi mkuu. Mi naona ni sawa na kademu kanarukaruka mastaili juu ya kifua cha kidume Kariobang. Mwanaume katulia tu anakata uno kwa step

Kwamba Kariobang hawana wachezaji waliobaki?
 
Daah.. haya majembe ya yanga ni noma aisee.. yanagongesha mitamba ya panya!

Hapo bado kuna akina Falcao wapo nje! Hii mitambo mwaka huu inaweza ikaitikisa dunia aisee! Kuna mapungufu machache sana ya kiufundi. Ila matumaini yapo ukilinganisha na msimu uliopita wa tia maji tia maji.
 
Hii Yanga bora Mwadui, club bingwa mapa tu wanatoka

Siyo jambo zuri kuilinganisha timu ya wananchi na vitu visivyotambulika duniani! Mwadui ndiyo kitu gani katika ulimwengu wa soka? Niamini mimi, Yanga ya sasa ni ya levo za akina As Vita, Kaizer Chief, nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…