Karibuni sana kupata madirisha ya vioo na milango

Karibuni sana kupata madirisha ya vioo na milango

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
Natumai mko poa kabisa

PENDEZESHA NYUMBA YAKO KWA ALLUMINIUM
_natengeneza madirisha ya alluminiu
_milango ya alluminium & viooo
_partion za mahoficini & duka la dawa & hopitali
_vioo vya saloon kike na kiume
_kama uliweka madirisha tunafanya repair kama vioo havitembei vizuri ama wavu kuchanika

KUNA OFA KUBWA SANA KAMA UTATENGENEZA KIPINDI HIKI KARIBU NA MWISHO WAMWAKA

Napatikana Kigamboni Dar es Salaam (popote ulipo unafikiwa hata ukiwa mkoani)

Contact_0686141321

"PENDEZESHA NYUMBA YAKO"
 
Natumai mko poa kabisa

PENDEZESHA NYUMBA YAKO KWA ALLUMINIUM
_natengeneza madirisha ya alluminiu
_milango ya alluminium & viooo
_partion za mahoficini & duka la dawa & hopitali
_vioo vya saloon kike na kiume
_kama uliweka madirisha tunafanya repair kama vioo havitembei vizuri ama wavu kuchanika

KUNA OFA KUBWA SANA KAMA UTATENGENEZA KIPINDI HIKI KARIBU NA MWISHO WAMWAKA
_napatikana dareslam kigamboni (popote ulipo unafikiwa hata ukiwa mkoani)

Contact_0686141321

"PENDEZESHA NYUMBA YAKO"
Weka bei na picha mkuu ,mwenyewe kwa hii hela niliyokopa lazima ka nyumba kangu ka matope niweke madirisha na mlango wa kioo
 
Hongera Sana aisee
Ahsante dada ,ukifika mbalizi uniambie tupate hata kasupu ka kongoro .
Watu wanajiita black walikuja huku kutafuta watu wa kukopa kigezo uwe na uwanja na mdhamini ,Basi mwenzako nikakopa hela nzuri kidogo ila Kuna kigezo wamekosea yaani wanenikosea hivyo sitawalipa nimetunza Kama milioni kadhaa ambazo nitazitumia kufungulia kesi walianza kunigasi .

Hivyo dada nitafute tule Raha kidogo ,nimeokota hela za bure kabisa sasa
 
Ahsante dada ,ukifika mbalizi uniambie tupate hata kasupu ka kongoro .
Watu wanajiita black walikuja huku kutafuta watu wa kukopa kigezo uwe na uwanja na mdhamini ,Basi mwenzako nikakopa hela nzuri kidogo ila Kuna kigezo wamekosea yaani wanenikosea hivyo sitawalipa nimetunza Kama milioni kadhaa ambazo nitazitumia kufungulia kesi walianza kunigasi .

Hivyo dada nitafute tule Raha kidogo ,nimeokota hela za bure kabisa sasa
Weekend ijayo nakutafuta aisee...
 
IMG_3582.jpeg
 
Back
Top Bottom