Karibuni tena leo katika mchezo wa kuigiza soka kati ya Yanga na Geita Gold

Mechi ishauzwa mkuu...GG wamepita hapa wanaelekea magu kuweka kambi..sasa nashangaa huko magu hata uwanja tu hakuna..hiyo kambi ni ya aina gan!!!mashabik wa geita wamesusaa na kusema viongoz wameuza mech ndo maana wamekuja kuchezea kirumba
 
Mechi ishauzwa mkuu...GG wamepita hapa wanaelekea magu kuweka kambi..sasa nashangaa huko magu hata uwanja tu hakuna..hiyo kambi ni ya aina gan!!!mashabik wa geita wamesusaa na kusema viongoz wameuza mech ndo maana wamekuja kuchezea kirumba
Af Wewe Bhn Akati Apo Wamepeleka Mechi Kirumba Kwasababu Uwanja Ni Mkubwa Ili Wapate Mapato Mengi Ya Viingilio Kutokana Na Mashabiki Wataingia Wengi Kesho.
 
Hii Inadhihirisha Wazi Kwamba Hawa Jamaa Huu Msimu Hawatuwezi Kwaio Kilichobaki Ni Kuzusha Mambo Ambayo Ukiwaambia Walete Uthibitisho Wanaanza Kuzunguka Tu, Au Ukiwaambia Basi Na Nyie Mlituuzia Ile Mechi Ya Ngao Ya Jamii Ndo Wanapoteana Kabisa [emoji23]
 
Simba Wameshatushindwa Hii Ni Dhahiri Kabisa, Mpo Vitani Adui Yako Anaacha Kutumia Silaha Mpambane Anaanza Kuleta Maneno Kuna Nn Tena Apo? [emoji23] Sasa Kilichobaki Ni Kumaliza Kazi Mapema Kabla Ya Mechi Tano Za Mwisho Tunatangaza Ubingwa [emoji41]
 

Nilitoka kuongea jana tu. Na leo tayari muwasho umesha waanza! Hiyo mechi inachezwa leo saa ngapi?
Maana sisi wengine tunatambua fika mechi inachezwa kesho Jumapili. Kiukweli baadhi ya mashabiki wa simba mnakera mpaka basi. Sijui mna akili za aina gani!

Timu yenu ikicheza na kushinda, huwa mnakenua kweli kweli! Huku mkiwasifia sana wachezaji wenu. Mkifungwa, shutuma zinaenda kwa GSM! Eti wamewahonga wachezaji wa timu pinzani ili mfungwe!

Ikicheza Yanga na kushinda mechi, nongwa! Ndiyo kusema Ismail Aden Rage alikuwa sahihi kiasi hicho juu ya ile kauli yake?
 
Na sijui ni kwann moda wanacheza thread kama hizi ziendelee kuwepo wakati zinapotosha umma. Mechi ni kesho.

Ifahamike hapa jf ni chanzo muhimu cha habari kwa wengi
 
Kama haujui kitu uliza ili uepuke aibu ndogo ndogo, hiyo inaitwa kinesiology tape (KT) au muscle support tape, kazi yake ni kuongeza blood flow kwenye msuli ulioathilika na kupunguza maumivu.
Muwie radhi mkuu. Hakuwa anajua. Na huwa zinarangi mbalimbali, bluu, nyeusi etc. Kwenye mpira wetu bado haya mambo ndo mana
 
Mechi ishauzwa mkuu...GG wamepita hapa wanaelekea magu kuweka kambi..sasa nashangaa huko magu hata uwanja tu hakuna..hiyo kambi ni ya aina gan!!!mashabik wa geita wamesusaa na kusema viongoz wameuza mech ndo maana wamekuja kuchezea kirumba
Yanga ananunua sana mechi sana hata ngao alinunua na fedha alipokea matola

Yanga ananunua sana ndo maana anaongoza kwA kupewa penati na kukosa kuliko timu zote

Yanga ananunua sana ndo maana mechi zake nyingi anashinda kwA utata

NB: palipo na neno yanga ondoa weka kolo
 
Kila la heri kwa waigizaji wetu wa leo. Ila nauona mwisho mbaya wa Geita kwa kuwa imeacha kucheza soka na kuanza kudanga[emoji1533]
 
Kila la heri kwa waigizaji wetu wa leo. Ila nauona mwisho mbaya wa Geita kwa kuwa imeacha kucheza soka na kuanza kudanga[emoji1533]
Jana biashara anatoa Hadi pasi kwA adui na hakabi ila hakuna aliye lalamika
 
Makolo FC kwa midomo utazani wanachezeaga buza
 
Bata hafanani na kuku japo wote ni jamii ya ndege
Yule Bata alinunua kwA miaka 4 mfululizo leo anamwona kuku anafanya powa anahisi anatumia mbinu zake kisa tu mchunga Bata kahamia kwenye kuchunga kuku
 
Tatizo nyie hata script inawashinda mnapewa penalty mnapaisha
 
Hana uwezo wa kununu mech yyte ya Azam wala Simba...anahonga tu vtimu vidogo vyenye vijivikozi vya kauka nikuvae kama wao
 
Hana uwezo wa kununu mech yyte ya Azam wala Simba...anahonga tu vtimu vidogo vyenye vijivikozi vya kauka nikuvae kama wao
Sasa kumbe Yanga hawawezi kununua mechi kwa Simba wals Azam. Kwa maana hiyo Azam walikula vyuma viwili kihalali kabisa. Na Simba kachezea kwenye ngao ya jamii kihalali kabisa huku kwenye mechi ya ligi wakishangilia siku nzima kutoka sare na yanga. Sasa kama imeshindwa kufungwa na Azam na Simba je kwa akili yako ni timu zipi ambazo zinauwezo kuliko Azam na Simba ambayo yanga iwaogope kucheza nao mpaka wahonge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…