Karibuni tuijadili hii Biashara

Karibuni tuijadili hii Biashara

Mkuu ukitoboa ukuta wa nyumba, ni kama umetoboa roho yake mwenye nyumba. haujui tu ni namna Gani wanavyofeel, yani hapo kurepair ukihama inamchukua ghalama sana haujui tu siku tukijaaliwa ukajenga utagundua mwenye nyumba alikuwa sahihi
Sasa kama roho inauma usiipangishe. Kwa akili hizi acha tu wachina waendelee kuja kuwekeza ili tupate akili za biashara.
 
Sasa kama roho inauma usiipangishe. Kwa akili hizi acha tu wachina waendelee kuja kuwekeza ili tupate akili za biashara.
Yani Mimi nijinyime nijenge nyumba yangu nzuri niifinish kwa rangi nzuri Halafu uje kunitoborea kwa Kodi Yako ya laki. Hell no ndiomaana Kuna mikataba ya wapangaji ni marufuku kufanya kile ambacho hakipo kwenye mkataba
 
Wakuu nilikuwa nataka ninunue hii mikeka mbao (SPC Flooring) kwa ajili ya nyumbani kwangu ila kwenye mchakato ndo nikaona mbona hii kitu inataka kuwa fursa ya biashara?

Hii PVC flooring huambatana na vitu kama Wall Panels zinazotumiwa sana kama decoration kwenye majumba. Kimsingi kuna items nyingi zinauzwa pamoja na mikeka mbao. Picha kadhaa nimekuwekea.

Nini changamoto kubwa ya hii biashara? Karibuni tujadili.

View attachment 3261286View attachment 3261287View attachment 3261288View attachment 3261289View attachment 3261290View attachment 3261291View attachment 3261292
Mama Samia uko vizuri sana
 
Yani Mimi nijinyime nijenge nyumba yangu nzuri niifinish kwa rangi nzuri Halafu uje kunitoborea kwa Kodi Yako ya laki. Hell no ndiomaana Kuna mikataba ya wapangaji ni marufuku kufanya kile ambacho hakipo kwenye mkataba
Ok. Turudi kwenye lengo la uzi.
 
Back
Top Bottom