Karibuni tuoneshane Dawa za Kiasili za kabila lenu Kwa Picha au maelezo ya Maneno


Mbaazi ni moja ya dawa za mitishamba zinazotibu mambo mengi ikiwemo kurudisha bikra ya msichana endapo majani yake yatatumika na kuandaliwa vyema. Tuwe makini katika kufuata njia za kuandaa dawa yetu.

MAANDALIZI YA KUANDAA MAJANI YA MBAAZI

  • Chukua majani ya mbaazi kisha yatwange
  • Weka maji kidogo vaa kama pedi kwa muda wa wiki utaona mabadiliko
FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI

  • Kukausha uke
  • Kuondoa majimaji ukeni
  • Kuongeza joto ukeni wakati wa jimai
  • Kuongeza hamu ya tendo la ndoa
  • Husogeza kizazi karibu
  • Kusafisha kuta za uke
 
Kweli mkuu hiyo mizizi unafanyaje aisee, dawa za wazungu kwanza miyeyusho mimi mpaka nibugie hizo dawa nakuwa nipo tyt hasa... Najiliag mitishamba tu...
Chukua Mizizi ya Mpapai chemsha changanya na maji Lita sita, Chemsha mpaka zibaki Lita Tano.

Hakikisha Ndani ya siku Tatu umemaliza hizo Lita Tano.
 

Kush
•Inasaidia kupunguza uzito(ukitumia kush huwez kuwa mnene)
•Inapunguza uwezekano wa kupata cancer
•inatibu msongo wa mawazo
•inaongeza furaha na kucheka zaidi
•Inatibu glaucoma na kuongeza uwezo wa kuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…