Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
- #41
Kinatumikaje ? Kinasaidia nn mkuuWapi ? kitunguu Saumu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinatumikaje ? Kinasaidia nn mkuuWapi ? kitunguu Saumu ?
Hili sikua nalifahamHaya majani hata kama mtu ameona maiti alafu inamletea wenge akijipaka usoni wenge linaisha
inatibu homa ya matumbo.Kinatumikaje ? Kinasaidia nn mkuu
Acha kuchezea server kama mtoto wa baby class ni aibu....kitu ni mada serious unataja majina...ya nn Sasa?
HpoView attachment 2615255View attachment 2615256
Mbaazi ni moja ya dawa za mitishamba zinazotibu mambo mengi ikiwemo kurudisha bikra ya msichana endapo majani yake yatatumika na kuandaliwa vyema. Tuwe makini katika kufuata njia za kuandaa dawa yetu.
MAANDALIZI YA KUANDAA MAJANI YA MBAAZI
FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI
- Chukua majani ya mbaazi kisha yatwange
- Weka maji kidogo vaa kama pedi kwa muda wa wiki utaona mabadiliko
- Kukausha uke
- Kuondoa majimaji ukeni
- Kuongeza joto ukeni wakati wa jimai
- Kuongeza hamu ya tendo la ndoa
- Husogeza kizazi karibu
- Kusafisha kuta za uke
Hujasema kutwa mara ngapi .View attachment 2615255View attachment 2615256
Mbaazi ni moja ya dawa za mitishamba zinazotibu mambo mengi ikiwemo kurudisha bikra ya msichana endapo majani yake yatatumika na kuandaliwa vyema. Tuwe makini katika kufuata njia za kuandaa dawa yetu.
MAANDALIZI YA KUANDAA MAJANI YA MBAAZI
FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI
- Chukua majani ya mbaazi kisha yatwange
- Weka maji kidogo vaa kama pedi kwa muda wa wiki utaona mabadiliko
- Kukausha uke
- Kuondoa majimaji ukeni
- Kuongeza joto ukeni wakati wa jimai
- Kuongeza hamu ya tendo la ndoa
- Husogeza kizazi karibu
- Kusafisha kuta za uke
Mkuu vp kuhusu dawa ya uti suguMkuu itapendeza ,uweke maelezo juu ya namna ya kuitumia na Inasaidia shida zipi
Siyo jamii ya mturatura/ndulele Mkuu?Inawezekana uko Mjini ndio, sema Simatifoni siku hizi hadi vijijini zimezagaa, embu mwambie aliyeko Kijijini akutumie picha ya Mmea wa Kiasili ambao Kikwenu, mnatumia kujitibu kitu fulani.
1. Majani ya Mpapai
Aiseee, ukitaka kuongezea Damu kwa wingi na Kwa Gharama ndogoooo, chukua Majani ya Mpapai, chukua matatu au manne yaoshe vizuri, yakatekate vizuri, Kisha chukua maji Nusu Lita changanya, weka Jikoni yachemke mpaka maji yawe ya rangi ya kijani.
Epuaaa, Kisha acha yapoe. Kunywa Kwa mtu mzima, kunywa Kwa siku nusu Lita ila mtoto anywe mls 10-20 Mara tatu Kwa siku.
Pia inasaidia sana kuimarisha kinga ya mwili, Kwa wanaume inaimarisha mzunguko wa Damu hivo kufanya Mashine Kusimama inakua kama Jiwe
Utanishukuru.
View attachment 2614891
2. Huu Mmea jina nmeusahau, ila picha yake ni hii
Ikitokea unahisi Umekula au umekunywa Chakula kisichofaa yaani Kina dalili za Sumu, tumbo linauma, kuharisha, kichefuchefu basi hii kitu kiboko.
Watajiuliza, mbona kwenye Chai tumemuwekea sumu lakini ni mzima.
Mmea ni huu, unakua na tumaua kama huyo. Huu Mmea ni Kiboko ya Sumu za kulishwa /Kunyweshwa!
Alafu faida yake ingine inaimarisha Uwezo wa nguu za kiume, mashine Inakua nga ngaaa.
View attachment 2614899
Uchukue majani hayo na Maua yake, OSHA, Kisha unaweza kubrendi au kama una kakinu kadogo twanga. Baada ya hapo changanya na maji yako safi kabisa ya kunywa halafu kunywa Asubuh-Jioni Glasi Moja Moja.
Kwanza utaanza kujambaaa balaa, Kisha tumbo lako unaponaa, Kwa wengine ambao wameathirika zaidi, wanaweza hata kuharisha.
Ila Sasa ilivyo chungu 😂😂, mwarobaini ukasomee!
Karibuni Wakuuu!