Karibuni tusemezane lugha za asili

mbii..?iiza ukhoole maayo
kyala khii mikhoonza,msouli wa mpoopo
(ramba)
 
Lete uzi wajinsi ya kurekebisha lugha ya kiswahili kwanza haswa kuhusu mfano Hasara kutamkwa hasala .kwa kifupi kupambania matumizi sahihi ya Herufi L na R maana duuhh ni tatizo la taifa kwa sasa mpaka naibu waziri wa utamaduni majuzi kati nimemsikia nae badala ya kusema Roma akasema Loma .yaani ni shida .kwa watangazaji wa tv za online ,you tube ndio usiseme ni bala tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…