Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
MwidiweMwidiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwidiweMwidiwe
Nahene [emoji1][emoji1]Ng'wadela bana JF. Onene nale mhola. Nalaha nigashaga nalelola e mihayo minge doho eyo mleyomba. Nahene lolo.
What's up dude..[emoji3][emoji3]What's up....kihaya
Good afternoon!!Goodmorning!!
...mnofwelakamwene! unogage?
Amang'na..Amang'na mura..!
Ni ja kisi wasu.
Nyamuhanga acisakira.Ejo bhuanga?
Nikomeye! Enisima kanya nsi.Ukomee nya lebhe
Wapi kipande yako?Kokoko sikunanga ngai bai mu tarambongo
Hii sio ya 'Nji' hii.Ayi biso tobuka bic mua kala, nani akolinga biso eh? tika tokosa ata kokosa nga nazali gradue, nga nazali licencie, nga nazali ingenieur, po balinga nga.
Mbukwaaa!!Mbukweni..............
Lete uzi wajinsi ya kurekebisha lugha ya kiswahili kwanza haswa kuhusu mfano Hasara kutamkwa hasala .kwa kifupi kupambania matumizi sahihi ya Herufi L na R maana duuhh ni tatizo la taifa kwa sasa mpaka naibu waziri wa utamaduni majuzi kati nimemsikia nae badala ya kusema Roma akasema Loma .yaani ni shida .kwa watangazaji wa tv za online ,you tube ndio usiseme ni bala tupuHabari za jumapili waungwana,bila shaka mpo salama..siku kadhaaa nyuma nilikutana na Jamaa umri kama wangu..anazungumza kisukuma hadi raha..nikajisikia wivu..wazazi wangu wamezaliwa mjini,nimezaliwa mjini..wao Ni wahee..but sijui kabisa kuongea...so karibuni Kila mtu azungumze lugha yake ya asili..naanza KAMWENE??
Nikomeye! Enisima kanya nsi.
Bamutu bata riokota benyewe kunyavu..Kokoko sikunanga ngai bai mu tarambongo