Karibuni tutongozane kwa mashairi ya nyimbo hasa za mapenzi

Jioni usiku mchana, jua likizama
Tuanza kandana
Nikuonyeshe kile amenipa mama
Si wafunge kelele
Maana wanaona

Wanaona gere, wanaona gere
 

i wanna be your main chick nakupenda......


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jioni usiku mchana, jua likizama
Tuanza kandana
Nikuonyeshe kile amenipa mama
Si wafunge kelele
Maana wanaona

Wanaona gere, wanaona gere
Samahani kama nakukera nikiwaza, nafikiria fika nikutengenezee shela la kanga.../
 
For the sake of this love, I should be a better woman 😊
Japo nimekuona leo for the first time/
Ila moyoni nimetamani uwe my first love/
Sina la kifanya navutwa na yako gravity/
Na milele nitazunguka kwa yako orbit/
Naamini wewe ndio kisima cha yangu furaha/
Nipe nikate kiu, sio poa kukataa/
Sijali kama utanipa mtihani ili niwe wako/
Nitajaza booklet kueleza mapenzi yangu kwako/
 
Inna uko wapi?

Ucheshi na sauti,
Umenifanya nakumisi tu
Mwambieni asiogope, T ni kipenzi cha watu
Tafanya party nyumbani, Yote kwa ajili yake
Tena asije pekee yake, asiogope aje na wenzake.

Oohoo jamani mwambieni aje.
 
Huu ndio upendo sasa....
Naona umeamua kunipenda hivi nilivyo..[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji127][emoji127][emoji127]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niite basi mpenzi uwe wanguu
Nikakutambulishe kwa ndugu zangu
Shida zote ulizonazo ni za kwangu [emoji445][emoji445]
You the one that I dream about all day
You the one that I think about always
You are the one so I make sure I behave
My love is your love, your love is my love🎵🎵🎵
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…