Karibuni tutongozane kwa mashairi ya nyimbo hasa za mapenzi

Karibuni tutongozane kwa mashairi ya nyimbo hasa za mapenzi

Naweza kuwa na fikra ngumu ka dizasta/
Ila moyo wangu umelainika kwako fasta/
Nifanye niwe wako ili mambo yawe tash tash/
Nikiwa na wewe nitakufanya useme asss asss/
Nitaacha ganja, and I'll a gentleman/
For ya sake I'll try to be a better man/
The only thing I want in my life is only you/
So baby say if i can be with you/
 
Penzi lako linimekolea
sijiwezi darling
Unayonipa sijazoea, sikuwachi honey
Nnapokuona mi nataka
Ongeza manjonjo mi na takataa
Sitaki mwengine we unanifaa
Tena kwa mwengine mi sinoi
Unavyo touch touch kiunoo
Unaamsha amsha yaliomo
🚶😝
 
Naweza kuwa na fikra ngumu ka dizasta/
Ila moyo wangu umelainika kwako fasta/
Nifanye niwe wako ili mambo yawe tash tash/
Nikiwa na wewe nitakufanya useme asss asss/
Nitaacha ganja, and I'll a gentleman/
For ya sake I'll try to be a better man/
The only thing I want in my life is only you/
So baby say if i can be with you/
For the sake of this love, I should be a better woman 😊
 
Una sauti nyororo, jicho la kichokozi/
Ngozi laini na unacheka kwa mapozi/
Lips rojorojo zimekaa kiutamuutamu/
Nikikutazama mwezako napata hamuhamu/
Niruhusu nikuonjeshe ladha halisi ya mapenzi/
Nitauchora urembo wako katika tenzi/
Mimi na wewe pamoja tutagusa nyota na mwezi/
Na nitaburudisha masikio yako kwa nyimbo tamu za mapenzi/
Kama penzi lako jela ntakuhonga ili unifunge/
Na sitokata rufaa, sijali acha wabonge/
Ukinipa limbwata, nitazidisha dozi/
Ili nisitoke kwako tuwe wote kwenye njozi/
 
Then,

Babe come to my bedroom pls babe come to my bedroom.

In wanna show you something that you never see never see....

Babe come to my bedroom.
Baby, if you give it to me, I'll give it to you
I know what you want, you know I got it
Baby, if you give it to me, I'll give it to you
As long as you want, you know I got it



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom