Karim Mandonga anacheza aina gani ya Ndondi?

Pitieni huku ndo mtaelewa.
 
Kikubwa pesa inaingia, akifia ulingoni ni ajali kazini
 
Mimi kama shabiki kindaki ndaki wa mandonga, nakwazika sana kuona ameanza kushinda siku hizi,
Mandonga popote ulipo nakwambia kushindwa kwako ndio heshima sio kushinda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…