Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
- Thread starter
- #41
Ni mambo kadhaa na juu ya kumtenda mtu nalo limo.Nimeshindwa kabisa kukuelewa mkuu. Ni kumbukumbu za mambo kadhaa vinakutesa ama ni unapitia changamoto ambapo ulimtenda mtu ama watu na sasa unapokea malipo yake ama wamaanisha nini
Sent using Jamii Forums mobile app