data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Mlakitimoto hujasema ni kumbukumbu ipi inakusumbua!??Ninajisikia nafuu ninavyopata ushauri wenu, asanteni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlakitimoto hujasema ni kumbukumbu ipi inakusumbua!??Ninajisikia nafuu ninavyopata ushauri wenu, asanteni sana.
Kuna mahali anapaamini zaidi pa kupakuliaAtakufa kama hasemi. Dhambi iseme ili usamehewe, Hakuna aliye msafi tunazo kubwa na ndogo..Dhambi insua mwili na roho
Maamuzi ni yakeKuna mahali anapaamini zaidi pa kupakulia
Na tunayaheshimu ...Maamuzi ni yake
Yule ambae alitaka kujiua kisa ana jambo linamsumbua hataki kusema nlimwambia aende ata chooni aongee peke yake atatua mzigo mkubwa sanaKuna mahali anapaamini zaidi pa kupakulia
Na unawajua wanajf wanaweza badala ya kukutuliza kwa faraja ndio unaenda tafuta kitanzi kabisaa
Mkuu kinachokutesa ni negative energy zilizopo kwenye akili yako unachotakiwa ni kuacha kuwaza mawazo negative, karma haina tofauti sana na law of causes and effect, una uhuru wa kuwaza chochote ila huna uwezo kuchagua matokeo ya ulichokiwaza maana hiyo ni kazi ya nature na always nature win.Naam....inanihukumu sana hii kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu sema kwanza ulifanya kitu gani ambacho unazan ndo kinakuandama au wewe ndo ulifyatua ile Risasi ikamuua mpendwa Akwilina
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio lazima ufanye jambo tena sio jambo tu ila bayaMkuu nadhani unaelewa maana ya karma.
Kwani karma ni mpaka ufanye kitu kimoja ndiyo ikufuatilie?.
TrueHuyu hajui maana ya karma.
Amelitumia tuu kujiridhisha nafsi maybe.
Au aelezee anamaanisha nini akisema karma. Maana haeleweki
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah dadeki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lipo andiko niliwahi kuandika humu kuhusu karma unaweza kulisoma lakini maana pana ya karma ninayoifahamu ni "kumbukumbu".
Karma siyo kumbumbuku! Unajua kiingereza? Karma = action, effect, fate! Karma is a spiritual principle of cause and effect where intent and actions of an individual influence the future of that individual. Good intent and good deeds contibute to good karma while bad intent and bad deeds contibute to bad karma.Kweli Mkuu ila Mwalimu naye hujifunza
Asante Mkuu...niliandika hivyo nikimaanisha Matendo tunayoyafanya kwa kujua au kutojua au waliyoyafanya watu wa karibu yetu ndiyo yanayotawala " Karma"Karma siyo kumbumbuku! Unajua kiingereza? Karma = action, effect, fate! Karma is a spiritual principle of cause and effect where intent and actions of an individual influence the future of that individual. Good intent and good deeds contibute to good karma while bad intent and bad deeds contibute to bad karma.
Kwa kifupi hii ni philosophy ya dini ya kihundu yenye maana kuwa ukitenda mazuri utapata ''karma'' (bahati) nzuri baadae maishani mwako na ukitenda mabaya utapata ''karma'' (bahati) mbaya baadae maishani mwako. eg: Ukimwibia mtu kilicho chake, hata kama hatakujua na kukukamata lakini zipo nguvu za asili ambazo zitakuja kukuadhibu wewe baadae. Hii ina maana unaweza kuja kupoteza kitu kikubwa zaidi au ukapata balaa kubwa! Kwa kifupi sana hii ndiyo maana yake.
Umefunguka nusu nusu..utapata majibu nusu nusu!Ninajisikia nafuu ninavyopata ushauri wenu, asanteni sana.
Msingi uko hapo...mengine ni kupaka rangi upepo tu@Lakini ndugu yetu umekosea nini.?