Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
- Thread starter
-
- #41
Ni mambo kadhaa na juu ya kumtenda mtu nalo limo.Nimeshindwa kabisa kukuelewa mkuu. Ni kumbukumbu za mambo kadhaa vinakutesa ama ni unapitia changamoto ambapo ulimtenda mtu ama watu na sasa unapokea malipo yake ama wamaanisha nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mlakimtoto ukiacha tu kula huyo mdudu mambo yatakunyookea vibaya mno.Nawasalimu kwa dhati wanajamii wenzangu.Mara zote nimekuwa nikijifunza kutoka kwa wanajamii wenzangu humu na hata juu ya hili ninaamini nitapata suluhisho lake humu .Nimekuwa mkimya kwa muda sasa kutokana na kupata sononeko kuu linalotokana na mashindano kati ya mwili na roho.
Ninaamini humu kuna wataalamu wa "karma"naombeni mnishauri nifanye nini maana ni kama nahisi kuna kitu nakosea na sijakifanya lakini bado kitu hicho ni muhimu nikifanye.
Natanguliza shukrani.
Ah..ah..nitabadili jina soon nitumie jina halisi au Mlaki Jr ...maana nao Mlakimtoto inawachanganya sana na Mlakitimoto.Wewe mlakimtoto ukiacha tu kula huyo mdudu mambo yatakunyookea vibaya mno.
Jaribu kuishi Sasa.Lipo andiko niliwahi kuandika humu kuhusu karma unaweza kulisoma lakini maana pana ya karma ninayoifahamu ni "kumbukumbu".
Sijakuelewa unamaanisha nini rafikiJaribu kuishi Sasa.
Umesema karma ni kumbukumbu.Sijakuelewa unamaanisha nini rafiki
Sasa ilibidi useme hivyo. Ndo maana rasmi ya karma. Mtafute muhusika na useme nae ikiambatana na kuomba msamaha. Apologise kwa kumaanisha ili upate amani.Ni mambo kadhaa na juu ya kumtenda mtu nalo limo.
Je LIKUD ??Kwa uzi huu anaweza kuchangi Mshana Jr peke yake tena kwa msaada wa ramli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu ila itakuwa vizuri ukinishauri.
mlaki mtoto = "mlakitimoto"Wewe mlakimtoto ukiacha tu kula huyo mdudu mambo yatakunyookea vibaya mno.
Binadamu wamejawa na kumbukumbu katika mawanda yake yote.Hakuna tunachokifanya nje ya kumbukumbu tukio nazo kwa kujua au kutokujua.
Mathalani hata kumbukumbu ya muonekano wa mtu inatunzwa kwenye D.N.A. n.k.."we are full of memories"..tatizo ni kwamba inanisumbua sana.
Nisaidie na wewe kwa maana nielewavyo Mimi karma ni jumla ya kumbukumbu ya kila unachofanya na ulichofanya na walichofanya watu wa karibu yako ambacho hitback yake humuandama mtu.
Hapo ndiyo haswaa nilikuwa nahitaji.Unaweza kuistopisha karma,ngoja Akina Mshana jr wakushauri kwanza,ukishindwa nimtafute ntakupa njia sahii ya kuescape au kuondoa karma.
Wapi tena?
Nakubaliana na wewe.