Karma inaniumiza sana mwenzenu

Wewe mlakimtoto ukiacha tu kula huyo mdudu mambo yatakunyookea vibaya mno.
 
Tuambie nini kimekukuta, au wewe ndo yule askari magereza aliewapiga wabunge wanchada hadi kuwavunja mikono?
 

Unaweza kuistopisha karma,ngoja Akina Mshana jr wakushauri kwanza,ukishindwa nimtafute ntakupa njia sahii ya kuescape au kuondoa karma.
 
Uongo. Hito siyo maana ya karma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidie na wewe kwa maana nielewavyo Mimi karma ni jumla ya kumbukumbu ya kila unachofanya na ulichofanya na walichofanya watu wa karibu yako ambacho hitback yake humuandama mtu.
Ukisikia utavuna ulichopanda=karma.
Karma haikosei.
Nipe maana nyingine zaidi
 
Unaweza kuistopisha karma,ngoja Akina Mshana jr wakushauri kwanza,ukishindwa nimtafute ntakupa njia sahii ya kuescape au kuondoa karma.
Hapo ndiyo haswaa nilikuwa nahitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…