Karma: Ipo siku Mama atakuja shuhudia mwanae, mjukuu au hata Mwenza wake akienda Jela au Mahabusu

Karma: Ipo siku Mama atakuja shuhudia mwanae, mjukuu au hata Mwenza wake akienda Jela au Mahabusu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwasababu malipo ni hapa hapa duniani, basi hilo litakuja kutimia huku Mama akishuhudia na wakati huo akiwa hana tena Mamlaka na nguvu alizonazo leo hii.

Kama si Mama, basi ni wale walio nyuma ya dhambi hii kwa kutumia nafasi zao.

Ukweli ambao wengi hamkuwahi hata kuufikiri ni kuwa, bora watu katika Mataifa ambayo hupambana/ huandamana kupigania haki zao kuliko watu katika Mataifa ambayo humuachia Mungu ashughulike na watawala waovu.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, na ni sauti hii ndio iliomuondoa Mwendazake pasipo watu kuandamana mabarabarani.

Tuombe uzima ni swala la muda tu kabla Karma haijachukua nafasi yake.
 
Bwashee naona salary ya December ulipishana nayo!

Tuliza munkari haikuwa lazima uende Marangu!
 
Mada hii mkuu imenipa ubaridi mno mwilini mwangu na akili yangu pia imepata shock kubwa baada ya kusoma hoja hii,wakati tunajifanya tunasheherekea xmass sisi na familia zetu,je umezifikiria familia za Saanane,Azory,Mawazo etc etc ?je umezifikiria familia hizi nini xmass kwao ipo vipi?halafu tuna watu makatili mno ambao walioshiriki kuondoa wapendwa wa familia hizi wakikimbilia kwenye nyumba za ibada na huku wamebeba vitabu vitakatifu,eti wanaenda kumwomba Mungu wa Upendo,wakati wana damu ndani ya mikono yao,our country we have a lot of murderers who are walking on our streets,but one day someone atajibu haya na kuziambia UKWELI hizi family nini kilitokea kwa wapendwa wao. Natamani niupate Urais wa 24 hrs ili nizipe closing hizi familia ambazo bado zinaishi maisha yasio na upendo.
 
Bwashee naona salary ya December ulipishana nayo!

Tuliza munkari haikuwa lazima uende Marangu!
Moja ya mambo ambayo huwa siyapi nafasi, ni kuhangaika na safari za mwisho wa mwaka eti kwenda kula sikukuu.
 
Kwasababu malipo ni hapa hapa duniani, basi hilo litakuja kutimia huku Mama akishuhudia na wakati huo akiwa hana tena Mamlaka na nguvu alizonazo leo hii.

Kama si Mama, basi ni wale walio nyuma ya dhambi hii kwa kutumia nafasi zao.

Ukweli ambao wengi hamkuwahi hata kuufikiri ni kuwa, bora watu katika Mataifa ambao huandamana kupigania haki zao kuliko watu katika Mataifa ambao humuachia Mungu ashughulike na watawala waovu.

Tuombe uzima ni swala la muda tu.
Dhambi 3 kwa kadiri ya maandiko, huzaa laana, na laana inakwenda mpaka kizazi cha nne. Dhambi hizo 3 ni:

1) Kuua

2) Dhuluma

3) Ulaghai

Ukiua, ujue umelaaniwa wewe mpaka kizazi chako cha 4. Haya ni yale mauaji ambayo Mungu hajayaidhinisha. Mungu huweza kuidhinisha mauaji kwa baadhi ya watu au makundi fulani.

Ukidhulumu mali, uhai au haki ya mtu, ujue umelaaniwa wewe mpaka kizazi chako cha 4.

Ukifanya ulaghai, ujue umetengeneza laana juu yako na kizazi chako.

Samia na wenzake, kwa kudhulumu haki ya Freeman, makomandoo, na wengine waliopo magerezani kwa maelekezo yao, hakika wamebeba laana itakayoenda mpaka kwenye vizazi vyao.

Ili kuiepuka laana hiyo, Samia na wenzake wanatakiwa kutubu, kufanya toba iliyo kuu ili kuupokea msamaha wa Mungu. Vinginevyo, amelaanika Samia na kizazi chake, pamoja na washirika wenzake katika uovu.
 
Kwasababu malipo ni hapa hapa duniani, basi hilo litakuja kutimia huku Mama akishuhudia na wakati huo akiwa hana tena Mamlaka na nguvu alizonazo leo hii.

Kama si Mama, basi ni wale walio nyuma ya dhambi hii kwa kutumia nafasi zao.

Ukweli ambao wengi hamkuwahi hata kuufikiri ni kuwa, bora watu katika Mataifa ambao hupambana/ huandamana kupigania haki zao kuliko watu katika Mataifa ambao humuachia Mungu ashughulike na watawala waovu.

Tuombe uzima ni swala la muda tu kabla Karma haijachukua nafasi yake.
Wala si siku nyingi
 
Dhambi 3 kwa kadiri ya maandiko, huzaa laana, na laana inakwenda mpaka kizazi cha nne. Dhambi hizo 3 ni:

1) Kuua

2) Dhuluma

3) Ulaghai

Ukiua, ujue umelaaniwa wewe mpaka kizazi chako cha 4. Haya ni yale mauaji ambayo Mungu hajayaidhinisha. Mungu huweza kuidhinisha mauaji kwa baadhi ya watu au makundi fulani.

Ukidhulumu mali, uhai au haki ya mtu, ujue umelaaniwa wewe mpaka kizazi chako cha 4.

Ukifanya ulaghai, ujue umetengeneza laana juu yako na kizazi chako.

Samia na wenzake, kwa kudhulumu haki ya Freeman, makomandoo, na wengine waliopo magerezani kwa maelekezo yao, hakika wamebeba laana itakayoenda mpaka kwenye vizazi vyao.

Ili kuiepuka laana hiyo, Samia na wenzake wanatakiwa kutubu, kufanya toba iliyo kuu ili kuupokea msamaha wa Mungu. Vinginevyo, amelaanika Samia na kizazi chake, pamoja na washirika wenzake katika uovu.
Asante sana.Umefanya kilicho ndani ya uwezo wako kwa kuwakumbusha haya, hivyo mwenye masikio na asikie.
 
Kwasababu malipo ni hapa hapa duniani, basi hilo litakuja kutimia huku Mama akishuhudia na wakati huo akiwa hana tena Mamlaka na nguvu alizonazo leo hii.

Kama si Mama, basi ni wale walio nyuma ya dhambi hii kwa kutumia nafasi zao.

Ukweli ambao wengi hamkuwahi hata kuufikiri ni kuwa, bora watu katika Mataifa ambao hupambana/ huandamana kupigania haki zao kuliko watu katika Mataifa ambao humuachia Mungu ashughulike na watawala waovu.

Tuombe uzima ni swala la muda tu kabla Karma haijachukua nafasi yake.
Mbowe ni gaidi
 
Nimeona Salam " ....2022 tuendelee kuwa wamoja..." unafiki utatumaliza, hakika malipo Ni hapahapa chini ya Mbingu.
 
Kwasababu malipo ni hapa hapa duniani, basi hilo litakuja kutimia huku Mama akishuhudia na wakati huo akiwa hana tena Mamlaka na nguvu alizonazo leo hii.

Kama si Mama, basi ni wale walio nyuma ya dhambi hii kwa kutumia nafasi zao.

Ukweli ambao wengi hamkuwahi hata kuufikiri ni kuwa, bora watu katika Mataifa ambao hupambana/ huandamana kupigania haki zao kuliko watu katika Mataifa ambao humuachia Mungu ashughulike na watawala waovu.

Tuombe uzima ni swala la muda tu kabla Karma haijachukua nafasi yake.

Hata ndugu wa familia ya Marehemu Chacha Wangwe walimuachia Mungu baada ya kifo tata cha mpendwa wao, huku Mwenyekiti wake wa chama akiwa SA kwa Madiba akigonga glass ya mvinyo kusherehesha tafrija fupi na baada ya miaka kadhaa aliyetumwa kukamilisha kazi bw Deus Mallya alipewa tenda (reward) chamani ya kuprint na kusupply tshirt, kofia, vipeperushi na mabango ya M4C

Irudiwe tena kusomwa kwamba, vitengo vyetu vya dola vikiwa makini ktk uchunguzi basi vitabaini muhusika mkuu wa kifo cha Chacha Wangwe na Ben ni mtu mmoja..!!!!

Karma is a bitch
 
Back
Top Bottom