Karma is real imeanza na Lissu, amekuwa mtu wa kutangatanga, amekuwa mtumwa hayuko huru. Atubu kwa kumsingizia Hayati Magufuli mabaya. Mengi yatamkuta

Karma is real imeanza na Lissu, amekuwa mtu wa kutangatanga, amekuwa mtumwa hayuko huru. Atubu kwa kumsingizia Hayati Magufuli mabaya. Mengi yatamkuta

Tundu Lisu anajua kutoka moyoni kwa uhakika kabisa kwamba Magufuli hakuhusika na shambulio lake lkn kwa kuahidiwa hela akakubali kulichafua Jina la Magufuli kwa kumsakizia mambo ya uongo akamdhalilisha mpaka amelala umauti hakuwahi kumuomba msamaha.

Lakini cha kushangaza sana Sana kwa utu ulivyo kwa wanadamu tulioumbwa kwa mfano wa mwenyezi Mungu tumeumbiwa kusamehe saba Mara sabini kama alivyo Mungu wetu.

Pamoja na kwamba Magufuli alikuwa na uwezo wa kumfanya Lisu chochote wakati wowote yeye alikubali kusingiziwa kwani Rais Magufuli alijua kuwa Lisu hajui alitendalo na ndio maana alichagua kukaa kimya

Magufuli hakuwa mkali hakuwa dikteta ni mtu aliyependa watu wake kwa moyo wake wote aliwahurumia wajane, mahatma, wanyonge

Rais Magufuli aliwatetea waziwazi waliodhulumiwa walioonewa waliodharauliwa alikula na wasiojiweza hakika huyu baba alijawa na huruma na upendo wa Hali ya juu Sana

Tukirudi kwa Lisu na kundi lake la Chadema Maigizo mengi yenye dhihaka na ya uongo wamempakazia Magufuli kisa tu kuwadai kodi ya serikali ambayo siyo mali yao ikawa nongwa

Lissu aitishe Mkutano wa dharula aliombe msamaha Taifa la Tanzania, Familia ndugu na jamaa za Magufuli la sivyo yapo mengi magumu na mazito yatamwandama sana
Ikitokea mmoja wenu amekufa basi mzungumzieni kwa mazuri yake hata kama nimachache [emoji120]
 
Lissu kuwa hai inawauma Sana.
Tena watu wanaosubiria kifo cha Lisu, wanaweza kutangulia wao, na Lisu akashuhudia vifo vyao. Wanaosubiria Lisu adhalilike kwa maisha duni, wanaweza wao kuishia kujiuliza leo watakula nini au watatibiwa vipi, huku Lisu akisafiri kwenda kwenye matibabu na akipata mahitaji yake ya lazima, bila mahangaiko kama watakayokuwa nayo wao.

Siku zote watu wenye roho mbaya, wanaowaombea mabaya watu wengine, yale mabaya wayatarajiayo yawapate wanaowachukia, huwarudia wao zaidi ya mara 2.

Lisu amewahi kumteka mtu?
Lisu amewahi kuwaua watu?
Lisu amewahi kuwapora watu pesa zao?
Lisu amewahi kuwabambikia watu kesi?

Kinyume chake, amewahi kutunuliwa kwa risasi makumi, lakini Mungu mwenye huruma aliihifadhi roho yake, labda ili ashuhudie ukuu wa Mungu.

Yaani laana ikampate aliyenuiwa kuuawa halafu ikamwache aliyetaka kumwua?
 
Karma ya ukweli ni ile iliyomrudi yule mwovu aliyetaka kumuua Lissu matokeo yake kafa kibudu.
Wewe huwezi kumkubali Magufuli kwasababu alikataa ku support viazi.

Nyie wazee wa UROP mmekuwa mabalozi wa viazi ndio maana Magu amekuwa adui yetu infinity.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Wewe huwezi kumkubali Magufuli kwasababu alikataa ku support viazi.

Nyie wazee wa UROP mmekuwa mabalozi wa viazi ndio maana Magu amekuwa adui yetu infinity.
Hapo ulipo umekalia kitu kigumu chenye ncha butu
 
Hakuna mahali ambapo nimemlinganisha Lisu na Musa, Ibrahimu au Yusuph au nabii au mtume yeyote wa Mungu. Na wala sitaweza kufanya hivyo. Hao, kwa watu wenye imani, wapo mbali mno na sisi waumini tulio wengi. Hao ni wateule WAKE waliojaliwa neema mbalimbali kwa hekima YAKE.

Nilichotaka kukuambia ni kuwa ni uwongo wa hali ya juu, na upotoshaji mkubwa, kuonesha kuwa kila anayesafiri, anayehamia ugenini au kukimbilia ugenini eti anatangatanga au eti amelaaniwa. Ni uwongo mkubwa. Kwa sababu wapo kama hao niliowataja, watumishi waaaminifu wa Mungu, walisafiri, walitoroka, na wengine kuhamia maeneo mapya tofauti na ya asili yao, hawakuwa wamelaaniwa, na kinyume chake ni kuwa walikuwa wateule wake MUNGU.

Tusipotoshe maandiko kwaajili ya kuyalinda maovu yetu. Tubishane kwa hoja zilIzo sahihi na zisizo sahihi, lakini tusimwingize MUNGU au mitume WAKE kulinda hoja zetu zenye dhamira ovu. Tukimtumia MUNGU au neno LAKE kulinda nia zetu ovu, tunafanya kufuru kubwa. MUNGU ni mtakatifu mno, kiasi cha kutostahili kuingizwa katika utetezi tunaoutengeneza wenye dhamira ya kuficha uovu.

Sikusema kila anayesafiri anatangatanga
Nimesema Tundu anatangatanga
 
Mna
Tundu Lisu anajua kutoka moyoni kwa uhakika kabisa kwamba Magufuli hakuhusika na shambulio lake lkn kwa kuahidiwa hela akakubali kulichafua Jina la Magufuli kwa kumsakizia mambo ya uongo akamdhalilisha mpaka amelala umauti hakuwahi kumuomba msamaha.

Lakini cha kushangaza sana Sana kwa utu ulivyo kwa wanadamu tulioumbwa kwa mfano wa mwenyezi Mungu tumeumbiwa kusamehe saba Mara sabini kama alivyo Mungu wetu.

Pamoja na kwamba Magufuli alikuwa na uwezo wa kumfanya Lisu chochote wakati wowote yeye alikubali kusingiziwa kwani Rais Magufuli alijua kuwa Lisu hajui alitendalo na ndio maana alichagua kukaa kimya

Magufuli hakuwa mkali hakuwa dikteta ni mtu aliyependa watu wake kwa moyo wake wote aliwahurumia wajane, mahatma, wanyonge

Rais Magufuli aliwatetea waziwazi waliodhulumiwa walioonewa waliodharauliwa alikula na wasiojiweza hakika huyu baba alijawa na huruma na upendo wa Hali ya juu Sana

Tukirudi kwa Lisu na kundi lake la Chadema Maigizo mengi yenye dhihaka na ya uongo wamempakazia Magufuli kisa tu kuwadai kodi ya serikali ambayo siyo mali yao ikawa nongwa

Lissu aitishe Mkutano wa dharula aliombe msamaha Taifa la Tanzania, Familia ndugu na jamaa za Magufuli la sivyo yapo mengi magumu na mazito yatamwandama sana
Je nisahihi kunyang'anya ushindi wa aliye hai aliye upigania

Nakumpa aliye kufa nawala hakuupigania?
 
Kwa kuleta clip hii, unadhihirisha jinsi Magu alivyokuwa mnafiki, muongo wa kiwango cha juu na mbaguzi.

Anasema tusibaguane kwa makabila huku akiwavunjia nyumba walio kando ya Morogoro road na akiwaacha wale wa Mwanza akiwasifia kuwa wao wajenge hatawabomolea kwa kuwa walimpigia kura. Je huyu anasingiziwa au ni mbaguzi wa kiwango cha juu, acha karma imtafune huko aliko.

Ukiacha chuki kidogo akili zako zinaweza kuona ukweli
 
Tundu Lisu anajua kutoka moyoni kwa uhakika kabisa kwamba Magufuli hakuhusika na shambulio lake lkn kwa kuahidiwa hela akakubali kulichafua Jina la Magufuli kwa kumsakizia mambo ya uongo akamdhalilisha mpaka amelala umauti hakuwahi kumuomba msamaha.

Lakini cha kushangaza sana Sana kwa utu ulivyo kwa wanadamu tulioumbwa kwa mfano wa mwenyezi Mungu tumeumbiwa kusamehe saba Mara sabini kama alivyo Mungu wetu.

Pamoja na kwamba Magufuli alikuwa na uwezo wa kumfanya Lisu chochote wakati wowote yeye alikubali kusingiziwa kwani Rais Magufuli alijua kuwa Lisu hajui alitendalo na ndio maana alichagua kukaa kimya

Magufuli hakuwa mkali hakuwa dikteta ni mtu aliyependa watu wake kwa moyo wake wote aliwahurumia wajane, mahatma, wanyonge

Rais Magufuli aliwatetea waziwazi waliodhulumiwa walioonewa waliodharauliwa alikula na wasiojiweza hakika huyu baba alijawa na huruma na upendo wa Hali ya juu Sana

Tukirudi kwa Lisu na kundi lake la Chadema Maigizo mengi yenye dhihaka na ya uongo wamempakazia Magufuli kisa tu kuwadai kodi ya serikali ambayo siyo mali yao ikawa nongwa

Lissu aitishe Mkutano wa dharula aliombe msamaha Taifa la Tanzania, Familia ndugu na jamaa za Magufuli la sivyo yapo mengi magumu na mazito yatamwandama sana
JUWE ni mhusika MKUU kwanini utawala wake haukutaka kumtafuta muuaji kama hakuusika? Rais anakaa kimya Raia wake kapigwa Risasi inaingia kweli akilini ACHA KUTETEA UJINGA Hata kichaa anajua Jiwe ndie Muuaji
 
Sio lisu peke yake. Wako wengi ambao ile damu itawachapa. Hata yule bibi wa unguja na washirika wake wote. Haponi mtu. Ni jambo la wakati tu.
 
Kama ni kweli Our late beloved president Dr John Joseph Pombe Magufuri alihusika na shambulio la Mh Tundu Antipas Lissu basi selikali ya Dr Samia Suluhu Hassan ingewachukulia hatua washambuliaji kwa kuwafungulia mashitaka ya jinai mahakamani. Watanzania Ubongo wenu hamuushughulishi kufikiria ndiyo maana ni rahisi kwa Mtanzania kuwa brainwashed. Mabaya yoote ya Rais aliyepita yalisemwa mbona hili halisemwi? Wanasiasa wanatumia wigo wenu mdogo wa kufikiri na kisha kuwahadaa vile wanataka na matokeo huwa yaleyale waliyotarajia.

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
 
Ila kama Jiwe angekuwa hahusiki kabisa na lile tukio wahusika wote wangedakwa siku ile ile ya tukio!.
Kwa mazingira tukio lilipotokea wasingeweza kutoroka hata mtu mmoja!.

Mbona mh lissu kaondoka tena hata baada ya kuhakikishiwa aman??
 
"Karma" itaendelea kuwatenda yale yapaswayo kutendewa nyie ambao hapo awali mlijifanya msiojulikana. Naona sasa mnaanza kujulikana kwa mawazo na matendo yenu.

Mlinufaika sana na mfumo wa kidhalimu kupitia damu za Watanzania wasiokuwa na hatia yoyote ile. Tunajua sasa mnaadhirika kwa kuwa matendo ya ufedhuli wenu hayana nafasi tena kwa sasa. Mmebakia kuwa na tamaa ya fisi.

Once a devil, always a devil

Mkuu wasiojulikana wangekuwa waovu namna hiyo nawewe ungeshakumbana nao.

Lakini sababu walitenda iliyo haki kwa hatma ya taifa ndio sababu unaona unaowahisi wapo tu wanadunda.
 
Tundu Lisu anajua kutoka moyoni kwa uhakika kabisa kwamba Magufuli hakuhusika na shambulio lake lkn kwa kuahidiwa hela akakubali kulichafua Jina la Magufuli kwa kumsakizia mambo ya uongo akamdhalilisha mpaka amelala umauti hakuwahi kumuomba msamaha.

Lakini cha kushangaza sana Sana kwa utu ulivyo kwa wanadamu tulioumbwa kwa mfano wa mwenyezi Mungu tumeumbiwa kusamehe saba Mara sabini kama alivyo Mungu wetu.

Pamoja na kwamba Magufuli alikuwa na uwezo wa kumfanya Lisu chochote wakati wowote yeye alikubali kusingiziwa kwani Rais Magufuli alijua kuwa Lisu hajui alitendalo na ndio maana alichagua kukaa kimya

Magufuli hakuwa mkali hakuwa dikteta ni mtu aliyependa watu wake kwa moyo wake wote aliwahurumia wajane, mahatma, wanyonge

Rais Magufuli aliwatetea waziwazi waliodhulumiwa walioonewa waliodharauliwa alikula na wasiojiweza hakika huyu baba alijawa na huruma na upendo wa Hali ya juu Sana

Tukirudi kwa Lisu na kundi lake la Chadema Maigizo mengi yenye dhihaka na ya uongo wamempakazia Magufuli kisa tu kuwadai kodi ya serikali ambayo siyo mali yao ikawa nongwa

Lissu aitishe Mkutano wa dharula aliombe msamaha Taifa la Tanzania, Familia ndugu na jamaa za Magufuli la sivyo yapo mengi magumu na mazito yatamwandama sana
Rubbish.
 
Sio nataka kusema, ni karma!

Sio tusubiri, hicho tuu kilichomtokea nayo pia ni karma!, na angalizo la karma tuliwapa kitambo!. Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!". Uliwahi kusikia ni nini kilimpata mlinzi wa Dr. Slaa aitwae Kagenzi?. Unajua huyo Kagenzi alifanywa nini na ni nani aliyeongoza hiyo operesheni Kagenzi? Ya mke wa Slaa na Mlinzi binafsi wa Dk. Slaa

Ipo haja ya kuomba msamaha, ukifanya jambo ovu lolote, ukiomba msamaha, unakuwa umepunguza makali ya karma.
Na ukifanya maovu, kisha ukafanya mema mengi na makubwa kuliko ule uovu, ule uovu wote wa mwanzo unafutika na unabarikiwa, na ndio maana karma ya JPM took its toll kwa kifo chake na baada ya pale dhambi zake zote zilisamehewa na hivi sasa yuko peponi! Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Unapenda sana kuhukumu wenzako kwa neno hili "karma" lisilokauka mdomoni mwako kana kwamba wewe ni "exceptional" na ni mtakatifu, huna dhambi na kwamba karma haikuhusu..

Kwa tabia yako hii ya kinafiki na kutokuwa mkweli, basi tambua kuwa hata wewe "karma" is knocking your 🚪🚪🚪🚪🚪door unless uwe hujui maana ya neno lenyewe "karma" na matumizi yake ktk kusema na kuandika.!

Be warned, Be safe, Be smart and be truthful. Stop being hypocrite Mr Pascal Mayalla!
 
Back
Top Bottom