Karma ndiyo inamtesa Okrah Simba SC na itamtesa mno hadi akamwombe Radhi Mzungu Dejan kwao aliko

Karma ndiyo inamtesa Okrah Simba SC na itamtesa mno hadi akamwombe Radhi Mzungu Dejan kwao aliko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Okrah ndiyo kwa 99% alisababisha Mzungu Wetu Dejan asiwe na Furaha ndani ya Simba SC mpaka Kukereka na kufikia Kuchukua yale Maamuzi aliyoyachukua ya Kuondoka.

Okrah huyu huyu ndiyo alikuwa akimtukana Mzungu wa Watu Dejan na Kubwa zaidi akiwashawishi Wachezaji wenzake Waswahili wamtenge, wambague na kubwa zaidi wasiwe wanampa Pasi Uwanjani kitu ambacho kilitokea mno tu.

Mzungu wa Watu Dejan alililalamikia zaidi hili hasa kwa Uongozi na Benchi la Ufundi ila hakupata Ushirikiano wowote ule sana sana alizidi tu Kunyanyasika ukichanganya na hata Lugha zenyewe tu za Kiswahili na Kiingereza Kwake zilikuwa tatizo ndiyo balaa tupu.

Baada ya Mzungu wa Watu Dejan Kuondoka zake Simba SC sasa yule yule Okrah aliyekuwa Akimfitini nae Kibao Kimemgeuka na hana tena Furaha Kikosini Simba SC kwani kuanzia Benchi la Ufundi, Uongozi na hata Wachezaji wenzake ( baadhi na Waandamizi ) hawamkubali tena kutokana na tabia yake ya kupenda Majungu, Kusengenya na Dharau ya Kiasili aliyonayo huku akitamba kuwa ana Kipaji na anatokea Taifa la Ghana ( Brazil ya Afrika) hivyo hakuna wa Kumtisha Tanzania na hata kwa Wachezaji Wengine wa Ukanda Wetu huu wa EAC na COSAFA.

Wanadamu tujitahidi sana kutokuwa Wafitini kwa Wenzetu na Kuwaharibia Maisha yao kwani hakuna Dhambi ambayo utaifanya hapa duniani kwa Mtu isiyemstahili au unayemuonea halafu isikurudie tena mara mbili yake.

Pole sana Okrah na hapo bado!!!!!
 
Ila Taarifa imekaa kimbea mno.

Anyway nilikuambia Usome TUJISAHIHISHE.
Mwalimu JK Nyerere.

1. Baadhi ya Wachezaji Wengi wa Ghana wamekuwa na MATATIZO ya nidhamu.
Abarola,Lamine moro, Morison nk.

2. Kutokana na ushindani mkubwa Wa Namba Kikosini Simba simuoni Okrah akicheza.
Anachangamoto ya.....

1. Moses PHIRI.
2. Clotus Chama.
3 .Said Ntibazonkiza.
4 .Pape Sackho.
5. Banda.
6. KIBU.
7. Mwinuke.

Katika hili kundi Unatakiwa uanze na wachezaji 2- 3. Tu.
 
Ila Taarifa imekaa kimbea mno.

Anyway nilikuambia Usome TUJISAHIHISHE.
Mwalimu JK Nyerere.

1. Baadhi ya Wachezaji Wengi wa Ghana wamekuwa na MATATIZO ya nidhamu.
Abarola,Lamine moro, Morison nk.

2. Kutokana na ushindani mkubwa Wa Namba Kikosini Simba simuoni Okrah akicheza.
Anachangamoto ya.....

1. Moses PHIRI.
2. Clotus Chama.
3 .Said Ntibazonkiza.
4 .Pape Sackho.
5. Banda.
6. KIBU.
7. Mwinuke.

Katika hili kundi Unatakiwa uanze na wachezaji 2- 3. Tu.
Kwa mtazamo wangu, Okrah anaingia hapa, tatizo lake alianza kuwa na kichwa kikubwa, hasa nikikumbuka ile game tunafungwa na uto alikuwa mbinafsi sana..
 
Sawq mtaalam wa kusafisha nyota
 
Ila Taarifa imekaa kimbea mno.

Anyway nilikuambia Usome TUJISAHIHISHE.
Mwalimu JK Nyerere.

1. Baadhi ya Wachezaji Wengi wa Ghana wamekuwa na MATATIZO ya nidhamu.
Abarola,Lamine moro, Morison nk.

2. Kutokana na ushindani mkubwa Wa Namba Kikosini Simba simuoni Okrah akicheza.
Anachangamoto ya.....

1. Moses PHIRI.
2. Clotus Chama.
3 .Said Ntibazonkiza.
4 .Pape Sackho.
5. Banda. KIBU.
7. Mwinuke.

Katika hili kundi Unatakiwa uanze na wachezaji 2- 3. Tu.
Acha kumfananisha Okrah na kibu,Banda au mwinuke... Kwa kikosi kilicho bado ana uwezo wakuwa kikosi cha kwanza. Majivuno, sifa na kupenda kucheza na jukwa kumemfanya apotee.... Okrah ni top player.
 
Acha kumfananisha Okrah na kibu,Banda au mwinuke... Kwa kikosi kilicho bado ana uwezo wakuwa kikosi cha kwanza. Majivuno, sifa na kupenda kucheza na jukwa kumemfanya apotee.... Okrah ni top player.
Hakika "Okra ni top player"
Aliwatungua Uto ambao ni wagumu sana kufungika.

Kule Angola ali assist goli la kwanza kwa kwenda spidi ya 5G.

Jamani msichanganye Okra na Okwa.
 
Acha kumfananisha Okrah na kibu,Banda au mwinuke... Kwa kikosi kilicho bado ana uwezo wakuwa kikosi cha kwanza. Majivuno, sifa na kupenda kucheza na jukwa kumemfanya apotee.... Okrah ni top player.
Mabingwa wa kucheza na jukwaa,
Sakho
Morrison
Okrah
 
Back
Top Bottom