#COVID19 Karma ni hatari: Mzanzibar aliyebeza COVID-19 huko ughaibuni, imempata

#COVID19 Karma ni hatari: Mzanzibar aliyebeza COVID-19 huko ughaibuni, imempata

IMG-20210803-WA0140.jpg
IMG-20210803-WA0141.jpg
IMG-20210803-WA0142.jpg


Jamani tusicheze na uwezo wa Mungu.
Atupe hekima ya kukaa kimya
 
Sio kweli wapo waliochanja tena dozi mbili na bado wamekufa kwa corona
Inategemea tu kinga zako za mwili zipoje
Hapa kuna factors zingine mkuu.mfano kama umechanja ukiwa tayari una virusi vya corona inakiwaje?unafikiri itakuwa sana na aliyechanja akiwa clean?
 
Watu kama hawa Covid ukikamata maliza kazi tu maana wajinga sana niliona video yake anaongea ugoro tu
 
Back
Top Bottom