Karma ni hatari wakuu, hakikisha unakuwa makini hasa nyie wauaji

Karma ni hatari wakuu, hakikisha unakuwa makini hasa nyie wauaji

Kwahiyo huo ndio ukweli halisi?
Watu wanapinga na kukataa maandiko matakatifu yanayosadikika ni ya Mungu ndio itakua hayo ya ka redflag?
 
Bado chura kiziwi kitabu chake loading............
Anajidai kama haoni huku anasikia rahaaaa mwenzie akichafuliwa , ambacho haelewi ngozi nyeusi bin mbongo ni mnafki kupitiliza likitokea la kutokea hawa hawa chawa unaowaona hutaamini macho yako watakavyomkataa🤣🤣🤣
 
Jamaa baada ya kufa tu mmeanza kumzushia vitu vingi tena vigumu vigumu
 
Back
Top Bottom