Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungewafafanulia kwa kinaga ubaga.Maana wengine wakiona neno "Karma" wanadhani ni mwanamuziki Karma Pa.Nafikiri mmejionea wenyewe karma ilichomfanyia mtu wenu ambae baadhi yenu mlifika hatua ya kumfananisha na Mungu.
Dhahabu hata uichafue vipi bado ni dhahabu tu!Nafikiri mmejionea wenyewe karma ilichomfanyia mtu wenu ambae baadhi yenu mlifika hatua ya kumfananisha na Mungu.
😀😀😀!Ungewafafanulia kwa kinaga ubaga.Maana wengine wakiona neno "Karma" wanadhani ni mwanamuziki Karma Pa.
Cc Pascal Mayalla Huyu ameelezea sana karmaUngewafafanulia kwa kinaga ubaga.Maana wengine wakiona neno "Karma" wanadhani ni mwanamuziki Karma Pa.
Kama haikuwa dhahabu ni kipande cha chupa ya bia?Dhahabu hata uichafue vipi bado ni dhahabu tu!
Anajidai kama haoni huku anasikia rahaaaa mwenzie akichafuliwa , ambacho haelewi ngozi nyeusi bin mbongo ni mnafki kupitiliza likitokea la kutokea hawa hawa chawa unaowaona hutaamini macho yako watakavyomkataa🤣🤣🤣Bado chura kiziwi kitabu chake loading............
Nani huyo Samia, Mbowe, Zitto au Lissu?Nafikiri mmejionea wenyewe karma ilichomfanyia mtu wenu ambae baadhi yenu mlifika hatua ya kumfananisha na Mungu.