escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Kwa miaka takribani sita iliyopita matajiri hawakupumua nchi hii, kodi za dhuluma ziliwaelemea. Kesi za uhujumu uchumi ziliwazunguka, akaunti zao zilifungwa na wengine ilibidi wahame nchi.
"Wanyonge" walishangilia kwa vifijo, miluzi na tarumbeta. Hawakujua nao yangekuja kuwatokea.
Hivi sasa wameongezewa kodi kidogo tu wamehamaki, wanalia na kuomboleza. Acha yatupate tuone uchungu wa kile tulichokuwa tukishangilia kwenye mikutano na vijiweni. Tujue ilivyo ngumu kulipa kodi ya dhuluma.
"Wanyonge" walishangilia kwa vifijo, miluzi na tarumbeta. Hawakujua nao yangekuja kuwatokea.
Hivi sasa wameongezewa kodi kidogo tu wamehamaki, wanalia na kuomboleza. Acha yatupate tuone uchungu wa kile tulichokuwa tukishangilia kwenye mikutano na vijiweni. Tujue ilivyo ngumu kulipa kodi ya dhuluma.