Watu wanaongea Tu, ndio maana inamake sense kuona moja ya wadau wakuu wa accnt ya Kigogo ni hao akina MakambaBashiru ajachukua pesa yoyote, pesa ya serikali tena billions of money haitoki kama imewekwa kwenye sanduku.
Watu wanamuogopa Bashiru 2025.
1.5 B za kuutembeza mwili kuanzia Nairobi India na hatimae Dar Dom Stone town na MZA bado za mazishiNimekubali mkuu lazima mgao umepita
Watu wanamuogopa Bashite kuliko BashiruWatu wanamuogopa Bashiru
Sisi sio Chadema bali CCM asili, chama kinarudi nyumbani brother. Hivi haoa tuko wapi vile aa chatooSiasa mpya za chadema ni kueneza chuki kwa watu ya kanda ziwa. Zitawalipa? muda ndio utaongea.
Hatujasahau na ile trilion 1½ Aliobaini Prof Assad kuwa imetumika mahali ambapo ni hewa1.5 B za kuutembeza mwili kuanzia Nairobi India na hatimae Dar Dom Stone town na MZA bado za mazishi
View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Inabidi CAG afukuefukue wala siku hazijakuwa nyingiHatujasahau na ile trilion 1½ Alioibaini Prof Assad kuwa imetumika mahali ambapo ni h
Hii inaweza kuwa njia mojawapo ya kujustify huo upotevuMh Samia asicheke na nyani usoni ,ikithibitika kina bashiru na mpwa wamepiga pesa waende jela....wanakwapua fedha na ndio maana serikali inaenda kuchukua fedha za NSSF kufidia hazina ambayo haina kitu lakin serikali ikiwa na fedha NSSF watakuwa wanatoa mafao kwa wakati.
Sababu Muhaya mwenzie tangu lini ukaujua Moyo wa MTUView attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Mkuu una ushahidi Kama kaibaKama yeye Karugendo anashirikiana na wezi na mafisadi no kwa upande wake yeye sisi asituambie huo upuuzi
Huyo Karugendo mbona hajamtetea mwenzake na huyo Bashiruu au kwakuwa siyo mhaya?View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Amefyatuka kisa ni mhaya mwenzakeHuyo kagurunyendo atulie vyombo vya uchunguzi vitatoa majibu soon.
View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Asante sana mkuuHuyu alifukuzwa upadri baada ya kula waumini.
Bashiru waa kipindi ya Jk ni tofauti na wa kipindi cha meko.
Karugendo apige kimya
Takukuru wakipeleka report ya bOt ajue kabis bashiru anaenda lock up
Nawe una ushahidi gani kuwa hajaibaMkuu unaushahidi Kama kaiba