Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

Karugendo na Bashiru wote ni nshomile lazima wateteane tu
Uko sahihi, nimeshangaa Hadi huyu joka privatus karugendo katoja pangoni kwa ajili ya Bashiru Kuna kitu. Hizi tuhuka hazienezwi kwa Bashiru peke yake mbona hajatetea wale wengine? Yaleyale ya pesa za escrow Rugemalila alizogawa.!
 
Mavi yake. Anaonya kama nani. Mafias wote tunaanza Ku deal nao mmoja mmoja
 
Bashiru ajachukua pesa yoyote, pesa ya serikali tena billions of money haitoki kama imewekwa kwenye sanduku.

Watu wanamuogopa Bashiru 2025.
Acha unafiki wewe, Mimi ni CCM, watu gani wanamwogopa bashiru ndani ya CCM? Bashiru alishikwa mkono na JPM, Hana influence yoyote ndani ya CCM. Yule agombee cheo chochote ndani ya chama kwa Sasa hapati na Wala haji kuteuliwa Tena Kwenye chama huo u KM nadhani nao siku zinahesabika. JPM alishika mkono wengi sana.
 
Hilo liko wazi kuna watu wanaamini Bashiru akiendelea kuwa kwenye utawala huu mambo yao hayataenda...so wanamchafua makusudi, usafi wa Bashiru watu hawapendi
Bashiru ana usafi gani? Mtu aliyefumbia maovu yote ya jiwe kwa maslahi binafsi.haahaa
 
Nadhani watu wanaotoa tuhuma hizo kwa Dk. Bashiru hawajui mfumo wa hazina unavyoendeshwa linapokuja suala la kutoa fedha Benki Kuu, hivyo kama hawamtaki Bashiru wamechagua silaha isiyo sahihi ya kumshambulia. Kawaida hata Katibu Mkuu wa Hazina ni vigumu kutoa fedha Benki Kuu bila ridhaa ya Gavana na ndiyo maana ya Benki Kuu kuwa huru.
Kipindi cha Meko kulikuwa hakuna utaratibu wowote ule kwa taarifa yako. Simu ya Meko,Dotto au Bashiri alikuwa inatosha kutoa Trillions of money.
 
Acha unafiki wewe, Mimi ni CCM, watu gani wanamwogopa bashiru ndani ya CCM? Bashiru alishikwa mkono na JPM, Hana influence yoyote ndani ya CCM. Yule agombee cheo chochote ndani ya chama kwa Sasa hapati na Wala haji kuteuliwa Tena Kwenye chama huo u KM nadhani nao siku zinahesabika. JPM alishika mkono wengi sana.
Kama wewe ni CCM, lakini ni wale waliokuwa wana faidika na Mali za CCM zilizogombolewa na Tume ya Bashiru mlizokuwa mmezikwapua na zikarudishwa chamani!
Ulichukizwa na hilo!
 
Tusubiri matokeo ya uchunguzi, naamini yatakuwa yanaonyesha ukweli

Inawezekana hajawahi kuwa mpigaji lakini amebadilika ghafla. Au kuna watu walimtegeshea aonekane amepiga

Nafasi ya katibu mkuu kiongozi ni kubwa sana. Kuna watu wanatamani hiyo nafasi au wanatamani timu jiwe isishike hiyo nafasi. Hapo sasa
 
Anaonewa au haonewi, muda peke yake ndiyo msema kweli:

Hizi tuhuma dhidi ya Dr. Bashiru kama zina chembe yoyote ile ya ukweli, basi lazima ashitakiwe kwa kosa la Kupanga na kuratibu Uhaini dhidi ya Jamhuri (Conspiracy to Commit Treason) na uhujumu uchumi (Economic Sabotage). Kama tuhuma hizi hazina ukweli, basi Serikali lazima itoke kukanusha, jambo ambalo mpaka sasa haijalifanya, kitu ambacho kinaendelea kuzipa hizi habari uhalali (Validity) mkubwa.
Itakuwa ni kweli mkuu
 
View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda, hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na hawana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Unaungana na karugendo kukemea Kama Nani?? Acheni kuteteana Kwa sababu ya makabila huko. Bashiru ni mwizi na his days are numbered. Kwanza hata pale alipowekwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi hakustahili. Unakuwaje Katibu Mkuu Kiongozi wakati hujawai hata kuwa Katibu Mkuu kwenye Wizara??? Alipendelewa na mwizi mwenzake tu na sasa yamefikia ukingoni.
 
Unaungana na karugendo kukemea Kama Nani?? Acheni kuteteana Kwa sababu ya makabila huko. Bashiru ni mwizi na his days are numbered. Kwanza hata pale alipowekwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi hakustahili. Unakuwaje Katibu Mkuu Kiongozi wakati hujawai hata kuwa Katibu Mkuu kwenye Wizara??? Alipendelewa na mwizi mwenzake tu na sasa yamefikia ukingoni.
Naona unaandika kama role model wenu wa Twitter 😂😂😂
 
Watz wengi vichwa maji, wameshindwa muelewa Karugendo kabisa😀
 
Mdogo wako January hajambo kwenye kitabu chake ulimwandika vizuri sana..karugendo!!! (Kwakihehe nikasafari kadogo ,safari isiyo na umbali mrefu.ndina karugendo
 
Sidhani kama mama alimlenga Bushiru.
Maana kama ni kukwapuliwa hizo hela mbona ziko wazi maana hata wiki mbili hazijapita, angesema apate taarifa ya fedha kwa kipindi meko anaumwa hadi umauti.
Ila pia kama kuna hela zilitoka unadhani meko angezikwa vipi bila fedha.
Na zaidi huyo gavana anaekubali kutoa hizo fedha atakua kichaa.
Bashiru wanamuwangia bure
Mwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani, Rais kasema hazina ichunguzwe, tusubiri majibu... kama atakuwa ana tuhuma it is Okey awajibishwe, kama hajachukua basi hekima ya Rais itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine
 
View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda, hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na hawana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Wanataka kupenyeza vya kwao, hivyo wanakosa namna nyingine zaidi ya kuchafua tu
 
Nssf nako kusafishwe, madudu alofanya ppf halafu anapelekwa nssf kisa mpwa wa nkapa
Achomolewe mapeeeeema
Mh Samia asicheke na nyani usoni, ikithibitika kina Bashiru na mpwa wamepiga pesa waende jela....wanakwapua fedha na ndio maana serikali inaenda kuchukua fedha za NSSF kufidia hazina ambayo haina kitu lakini serikali ikiwa na fedha NSSF watakuwa wanatoa mafao kwa wakati.
 
View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda, hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na hawana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Kama sio mwizi kwa nini alikuwa karibu na wezi?. Tafakari.
 
Umesema kweli! Wapo wengi sana ambao walishikwa mkono na JPM, na wakapewa vyeo na teuzi mbalimbali, lakini hawana influence ya maana ndani ya CCM. Hawa wote pamoja na wakimbizi walokimbia vyama vyao kuja CCM kusaka tonge, siku zao zimehesabiwa. Tutawanyofoa tokea chini kwenye CCM ngazi ya shina hadi juu ngazi ya taifa.
Acha unafiki wewe, Mimi ni CCM, watu gani wanamwogopa bashiru ndani ya CCM? Bashiru alishikwa mkono na JPM, Hana influence yoyote ndani ya CCM. Yule agombee cheo chochote ndani ya chama kwa Sasa hapati na Wala haji kuteuliwa Tena Kwenye chama huo u KM nadhani nao siku zinahesabika. JPM alishika mkono wengi sana.
 
Back
Top Bottom