Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kuelekea mchezo wa leo ambao tanzania itakipiga na kenya golikipa namba moja wa stars aishi manula karipotiwa kua majeruhi..
Kuna uzi wa mdau mmoja alileta kuwa kessy anampiga misumari kapombe, sasa leo hii mtoto wa kigoma juma kaseja kashafanya yake pia kwa aishi[emoji16][emoji16][emoji23]..kuna uwezekano mkubwa juma k juma akawa golikipa atakae iongoza tanzania kukipiga na kenya leo hii....
Kigoma hoyeeeee
Kuna uzi wa mdau mmoja alileta kuwa kessy anampiga misumari kapombe, sasa leo hii mtoto wa kigoma juma kaseja kashafanya yake pia kwa aishi[emoji16][emoji16][emoji23]..kuna uwezekano mkubwa juma k juma akawa golikipa atakae iongoza tanzania kukipiga na kenya leo hii....
Kigoma hoyeeeee