Kaseja,Nyoni,na Elasto siku wakiistaafu wapigiwe mizinga 20 ya heshima.

Dah wabongo bana!

Sasa kwa kipi walichokifanya sasa kweny soka mkuu?

Sasa siku Ronaldo na Messi wamestaafu mpira dunia si italipuka kwa mizinga ya Nyuklia kabsa!
 
Lakini mjue bado timu yetu ina kiwango duni sana
Burundi wapo vzr
 
Huyu jamaa kanikumbusha musemo uliokuwa sema urusi Na Russia ni ipi iliwahi kutoka kwenye kombe la dunia
 
Kwa kitendo cha kumuacha Kelvin Yondani Uzi wako hauna maana yoyote tena umegeuka Wa kishabiki maandazi tu. Labda kama hapo kwa erasto na nyoni umejichanganya na ulikusudia kumuweka Yondani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…