Wakuu nilibahatika kupata binti flani mrembo akiwa field ya nursing wakati mzee wangu alipolazwa katka hospital flan.Umri Wang n wa wastani<bado mbich.Alinikubal na ananpenda sana.Tatizo ni kuwa juzi kati kanambia kuwa ana watoto wawil na mtu anaye lakn ananipenda sana na hatak tuachane.Umri wake bado mdogo kabisa yan na bado sijamgegeda.Wakuu naombeni ushauri
nb:binti ni mrembo sana kwa mwanaume yoyote rijali lazma utamani kuwa nae
mkuu cijachunguza kama n kwel ana watot au lah!pia cna mpango wa kuoa
paragraph ya mwisho inaonekana kabisa kuwa unataka ushauri wa mlengo gani!!
Utu wema na uungwana ni pale unapokutana na mke / mme wa mtu asiye mwaminifu na kumsaidia kuwa mwaminifu!!
usidate na mtu aliye na mtu! Mbona binadamu hatuheshimiani!!