Kasema ana watoto wawili na hataki tuachane

Tatizo urembo wa binti umekukosesha maamuzi??????? Mwanaume yake maamuzi mwanamke yake ushauri.

nilmwambia me sitaweza hakawa analia na kusema ananpenda sana yan hatak nimuache cjui kwa nin
 
Naona na wewe umekuja kuonekana na wewe umeanzisha uzi. Hapo hatuna ushauri. Akili kumkichwa
 
katoe posa mfunge ndoa kabisa ili uanze kulea watoto wa wenzio. mwenye watoto atakusifu sana
 
mku hakunambia kama ana mtu hapo kabla

Ila watoto wengine bwana,,, hakukwambia kabla kama ana mtu, na sasa kakwambia ana mtu na watoto wawili bado tu unataka ushauri, arrrrrrrrrrgh!
Litakapokuja swala la kutaka ushauri sijui utataka nini kama vitu kama hivi ambavyo viko wazi bado eti unataka ushauri,


Bulldog hajakose hapo juu,,
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…