Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is a problem na mtu kwenda club ku rap?!. Kipaji hakina umri!. Mimi mwenyewe nakwenda 60 na mara moja moja napanda club na rap, kwenye bendi napanda stejini na kuimba Georgina!, na humu JF nimewaletea rap kibao tuu!.Yaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.
Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24
Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Wanamtafuta tu Kasesela wa watu.Mtu ameeleza kipaji chake inakuwa nongwa?Waanze na Jay-Z basi tuwaamini.Kwani tatizo nini?
Huyo chamatusi hana akili nzuriYaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.
Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24
Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Yaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.
Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24
Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Mkuu, wewe ni bosi wa PPR, sio mkuu wa wilaya.Mwemyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, msimamizi wa maendeleo ya wilaya, haiwezekani, akitaka kwenda mabarabarani, atuachie cheo chetuWhat is a problem na mtu kwenda club ku rap?!. Kipaji hakina umri!. Mimi mwenyewe nakwenda 60 na mara moja moja napanda club na rap, kwenye bendi napanda stejini na kuimba Georgina!, na humu JF nimewaletea rap kibao tuu!.
P
Safiiii mwanangu P!Kama muziki ni uhuni.....!Wamalizie wenye hasira.😂😂😂😂What is a problem na mtu kwenda club ku rap?!. Kipaji hakina umri!. Mimi mwenyewe nakwenda 60 na mara moja moja napanda club na rap, kwenye bendi napanda stejini na kuimba Georgina!, na humu JF nimewaletea rap kibao tuu!.
P
Kwani ni kosa ku-rap club??Yaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.
Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24
Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Mnyakyusa mmoja kichwa kikubwa, mwilli mkubwa lakini akili kijiko cha chai.Kasesela ndio nani?
Kwani ukiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama hautakiwi kuimba,kucheza na kufurahi?Kwamba bunduki zitajifyatua risasi?😂😂😂😂Mkuu, wewe ni bosi wa PPR, sio mkuu wa wilaya.Mwemyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, msimamizi wa maendeleo ya wilaya, haiwezekani, akitaka kwenda mabarabarani, atuachie cheo chetu