Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unakwama sehemu.Vitu vingine mbona vipo sawa tu!Angevunja sheria tungemsimanga.Siyo ku-rap au kuimba vyovyote.Huyo ni kiongozi, lazima aonekane hivyo
Ukiwa kiongozi, vitu vingine havihitaji kutungiwa sheria, ukiwa mkuu wa wilaya uko kwenye matazamio ya kwenda mbele na wewe ni sura ya nchi.Mkuu unakwama sehemu.Vitu vingine mbona vipo sawa tu!Angevunja sheria tungemsimanga.Siyo ku-rap au kuimba vyovyote.
Na hapo amesema "alipokuwa" mkuu wa wilaya.Vipi ungemkuta live kule Club La Parte au Shooters Pub,si ungemuua?😂😂😂😂Ukiwa kiongozi, vitu vingine havihitaji kutungiwa sheria, ukiwa mkuu wa wilaya uko kwenye matazamio ya kwenda mbele na wewe ni sura ya nchi.
Masha aliyekuwa anashinda Rose Garden Yuko wapi?
Mkuu kuna vitu ikifika sehem kwa nafasi ya mtu katika jamii hawezi kufanya. Ni sawa useme leo rais aende club ku rap ni kitu hakipo!What is a problem na mtu kwenda club ku rap?!. Kipaji hakina umri!. Mimi mwenyewe nakwenda 60 na mara moja moja napanda club na rap, kwenye bendi napanda stejini na kuimba Georgina!, na humu JF nimewaletea rap kibao tuu!.
Miongoni mwao ni hizi Kwa Wapenzi wa Muziki: "Bado tunapanda, Tunapanda milima, Najua tutafika, Tutafika lazima!"
na Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufisadi?!, 25/10 "Give It, "Just One More Try!"
P
DC mstaafuKasesela ndio nani?
Mbona kina nape wanaimbaYaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.
Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24
Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Ukiwa kiongozi haikufanyi uwe detached from the community, music is not immoral, kimsingi kushiriki kwake kulihamasisha vijana kwenye music carrier.Yaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.
Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24
Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Watu wana akili za kindezi wanarukia akili kubwaKwani ukiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama hautakiwi kuimba,kucheza na kufurahi?Kwamba bunduki zitajifyatua risasi?😂😂😂😂
Jibu konki kabisa,DC analipwa kwa kodi zetu lazima awe serious huyu paschal mayala anakula kwa jasho lake hata akiamua kutembea uchi sawa tzMkuu, wewe ni bosi wa PPR, sio mkuu wa wilaya.Mwemyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, msimamizi wa maendeleo ya wilaya, haiwezekani, akitaka kwenda mabarabarani, atuachie cheo chetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si bora amejieleza.Furahia maisha.Hizo codes of conduct pelekea wazee wa kanisa.
Akisikia "mubebez everlyn le salt umenimiss eh,niko down town you know,Ghafla nimemkumbuka super brand Le mutuz
Nina taarifa za kijajusi,le supa bwenyenye ameshinda ile kesi ya Range rover kwa kumchapa KO yule bossBoma Yeeee, I mean you the gadem Kasesela
Mkuu chiembe , ni bahati mbaya sana tumetawaliwa na marais wasio na vipaji vya muziki!, JK akiwa MFA tulikuwa tunakesha nae Msondo, Sugu, Prof. J na Mwana FA ni waheshimiwa wabunge na wana Rap!, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kwenda night club kupanda stejini na kuimba au ku rap!, unless ana rap akiwa njwii na akimaliza na yeye anajizolea na kujiokotea yale ma zaga zaga na kwenda kujilia pale kwa babu!. Lakini kama ana rap, akichagua nyama, anatoa number ya simu, baada ya hapo wanakutana location, wanamalizana, kisha kila mmoja anaendelea na ustaarabu wake, kuna tatizo gani?.Mkuu, wewe ni bosi wa PPR, sio mkuu wa wilaya.Mwemyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, msimamizi wa maendeleo ya wilaya, haiwezekani, akitaka kwenda mabarabarani, atuachie cheo chetu
Mkuu, nimekuelewa unaposimamiaMkuu chiembe , ni bahati mbaya sana tumetawaliwa na marais wasio na vipaji vya muziki!, JK akiwa MFA tulikuwa tunakesha nae Msondo, Sugu, Prof. J na Mwana FA ni waheshimiwa wabunge na wana Rap!, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kwenda night club kupanda stejini na kuimba au ku rap!, unless ana rap akiwa njwii na akimaliza na yeye anajizolea na kujiokotea yale ma zaga zaga na kwenda kujilia pale kwa babu!. Lakini kama ana rap, akichagua nyama, anatoa number ya simu, baada ya hapo wanakutana location, wanamalizana, kisha kila mmoja anaendelea na ustaarabu wake, kuna tatizo gani?.
P
Asante heri ya mwaka mpya.Mkuu, nimekuelewa unaposimamia
Dah! Wewe kama mimi aisee! Yaani ni kawaida sana mara moja moja nikipata upenyo, huwa naenda kwenye mbuga ya wanyama, kuwinda swala, kwa ajili ya kitoweo.What is a problem na mtu kwenda club ku rap?!. Kipaji hakina umri!. Mimi mwenyewe nakwenda 60 na mara moja moja napanda club na rap, kwenye bendi napanda stejini na kuimba Georgina!, na humu JF nimewaletea rap kibao tuu!.
Miongoni mwao ni hizi Kwa Wapenzi wa Muziki: "Bado tunapanda, Tunapanda milima, Najua tutafika, Tutafika lazima!"
na Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufisadi?!, 25/10 "Give It, "Just One More Try!" Na hapa Muziki wa Hip Hop bongo umetokea mbali-Tujikumbushe kidogo
Hivyo kipaji hakina umri!.
P