johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hio Patel kaitolea wapi?mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Yaan hata profile haina nyamaCV nyepesi sana ndio maana hampati kazi za maana
Ikiwa tu atasaidia kwenye ku influence na kubaini watekaji na wauaji!!!Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere π
We're in trouble if we shall not be extra careful!!!alikuwa Mtanzania
Hapa siyo chumba Cha MtihaniCV nyepesi sana ndio maana hampati kazi za maana
πππIkiwa tu atasaidia kwenye ku influence na kubaini watekaji na wauaji!!!
Rombo ππHio Patel kaitolea wapi?
sasa anakusaidia niniHii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere π
Chumba gani cha mtihani uliingia ukaulizwa CV mwagito?Hapa siyo chumba Cha Mtihani
Swela elaChumba gani cha mtihani uliingia e CV mwagito?
Hii ng'ombe ichinjwe tu Xmass hii.Hapa siyo chumba Cha Mtihani