promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,164
- 1,901
Hakuna kazi Ina watu wapumbavu kama walimu.Sijawahi ona polisi au idara ya afya wakija kusemana mitandaoni ila walimu wametishaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kazi Ina watu wapumbavu kama walimu.Sijawahi ona polisi au idara ya afya wakija kusemana mitandaoni ila walimu wametishaaa.
Kwamba ni wapumbavu !? Hilo hapana sio wapumbavu sababu ukisha waita walimu wapumbavu maana yake hata wewe pia ni mpumbavu sababu hao unao waita wapumbavu ndio walio kufundisha hata weweHakuna kazi Ina watu wapumbavu kama walimu.
Una uhakika aliyetoa taarifa ni Mwalimu?Hakuna kazi Ina watu wapumbavu kama walimu.
Walimu wana wivu na majungu sanaBaadhi ya walimu katika shule ya Sekondari Kitumbeine, wilayani Longido, akiwemo Makamu wa shule hiyo Renatus Mwijage, wamekithiri kwa ulevi na vitendo vya ngono kwa wanafunzi.
Walimu wana wivu na majungu sana
Hao watu wanamaneno sana usiwaone hivyo wanamajungu sanaSijawahi ona polisi au idara ya afya wakija kusemana mitandaoni ila walimu wametishaaa.
Badilikeni na Nyinyi Mmezidi sanaKuwa na heshima km sio hao waalimu leo usingekuwa na uwezo wakuingia hata jf
Walimu ni watu wa hovyo sanaBaadhi ya walimu katika shule ya Sekondari Kitumbeine, wilayani Longido, akiwemo Makamu wa shule hiyo Renatus Mwijage, wamekithiri kwa ulevi na vitendo vya ngono kwa wanafunzi.
Madai ya tuhuma hizo yametolewa na baadhi ya wananchi wilayani humo baada ya kulio chao kutosikilizwa , wakimlalamikia kaimu afisa elimu sekondari wilayani hapo,Gilbert Sombe kwa kufumbia macho matukio na mwenendo walimu hao ambayo yanatishia kudhorotesha maendeleo ya shule hiyo.
Taarifa zaidi zimedai kwamba makamu wa shule hiyo, Renatus Mwijage, amekuwa akifanya jitihada za kusaka nafasi ya ukuu wa shule baada ya kufanikiwa kumrubuni kwa fedha kaimu afisa elimu huyo ambaye alimemwahidi kumpatia nafasi hiyo katika moja ya shule wilayani hapo.
"Afisa elimu anatuhumiwa kula fedha za baadhi ya walimu akiwemo Renatus ambaye anadaiwa kutoa sh,milioni 5 ili kupatiwa ukuu wa shule"
Pia mwalimu Petro Mosses ambaye alihamishiwa katika shule ya sekondari Kitumbeine kutoka shule ya sekondari Longido akituhumiwa kufanya ngono na baadhi ya wanafunzi wake na wengine kuwapachika mimba.
Wazazi wanadai kuwa idara ya elimu imeshindwa kuwachukulia hatua walimu hao kwa sababu kaimu afisa elimu anawakumbatia kwa sababu amekuwa akichukua fedha na kuwaacha wafanye uchafu wao bila kukamewa.
Mwalimu mwingine chapombe ni ,Vickta Bayo ambaye anatajwa ndio kinara wa ulevi ambapo amekuwa akilewa muda wote wa kazi na wakati mwingine anajikojilea barabarani na kushindwa kufundisha darasani jambo ambalo kaimu afisa elimu analalamikiwa kwa kishindwa kuchukua hatua kiasi cha baadhi ya wazazi kuhoji ukaribu wa walimu hao na kaimu afisa elimu huyo.
Mwalimu Petro anatuhumiwa kutengeneza akaunti feki inayochafua viongozi mitandaoni na ana line feki inayotumika kuwatumia ujumbe baadhi ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wazee na watoto , akidai shule hiyo kuna ukatili wa kutisha kwa wanafunzi unafanyika na pia kuwachongea viongozi wilayani hapo wakiwemo wakuu wa shule.
Wamemwomba rais Samia Suluhu kupitia wizara ya elimu kutuma timu ya uchunguzi juu ya mwenendo wa walimu hao pamoja na kaimu afisa elimu.
Walimu wanamatatizo nadhani walimu walikuwa wale wa UPE walikuwa wanalewa nini kimeaapeleka kuleMajungu tu, wewe ni mwalimu hapo huna lolote.
Na imani watakuwa wametuelewa sana huwa wanajiona wao wana akili sana kuliko kada nyingine kisa wamesoma Philosophy wanakuja kutuletea mtaani humuSawa mwalimu wa apo shule tutawafukuza wote ubaki ww
Karma is real huna mda mrefu apo kazini
No one is perfect ila usimuongolee ubaya mwenzako wakati yako yamejaa.
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanza mimi siyo mwl by the wayBadilikeni na Nyinyi Mmezidi sana
Profesa Adolf Mkenda , mfumo unaotumika kuwapata na kuwateua maafisaelimu wa mikoa na wilaya ni mbovu na umenuka rushwa.Baadhi ya walimu katika shule ya Sekondari Kitumbeine, wilayani Longido, akiwemo Makamu wa shule hiyo Renatus Mwijage, wamekithiri kwa ulevi na vitendo vya ngono kwa wanafunzi.
Madai ya tuhuma hizo yametolewa na baadhi ya wananchi wilayani humo baada ya kulio chao kutosikilizwa , wakimlalamikia kaimu afisa elimu sekondari wilayani hapo,Gilbert Sombe kwa kufumbia macho matukio na mwenendo walimu hao ambayo yanatishia kudhorotesha maendeleo ya shule hiyo.
Taarifa zaidi zimedai kwamba makamu wa shule hiyo, Renatus Mwijage, amekuwa akifanya jitihada za kusaka nafasi ya ukuu wa shule baada ya kufanikiwa kumrubuni kwa fedha kaimu afisa elimu huyo ambaye alimemwahidi kumpatia nafasi hiyo katika moja ya shule wilayani hapo.
"Afisa elimu anatuhumiwa kula fedha za baadhi ya walimu akiwemo Renatus ambaye anadaiwa kutoa sh,milioni 5 ili kupatiwa ukuu wa shule"
Pia mwalimu Petro Mosses ambaye alihamishiwa katika shule ya sekondari Kitumbeine kutoka shule ya sekondari Longido akituhumiwa kufanya ngono na baadhi ya wanafunzi wake na wengine kuwapachika mimba.
Wazazi wanadai kuwa idara ya elimu imeshindwa kuwachukulia hatua walimu hao kwa sababu kaimu afisa elimu anawakumbatia kwa sababu amekuwa akichukua fedha na kuwaacha wafanye uchafu wao bila kukamewa.
Mwalimu mwingine chapombe ni ,Vickta Bayo ambaye anatajwa ndio kinara wa ulevi ambapo amekuwa akilewa muda wote wa kazi na wakati mwingine anajikojilea barabarani na kushindwa kufundisha darasani jambo ambalo kaimu afisa elimu analalamikiwa kwa kishindwa kuchukua hatua kiasi cha baadhi ya wazazi kuhoji ukaribu wa walimu hao na kaimu afisa elimu huyo.
Mwalimu Petro anatuhumiwa kutengeneza akaunti feki inayochafua viongozi mitandaoni na ana line feki inayotumika kuwatumia ujumbe baadhi ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wazee na watoto , akidai shule hiyo kuna ukatili wa kutisha kwa wanafunzi unafanyika na pia kuwachongea viongozi wilayani hapo wakiwemo wakuu wa shule.
Wamemwomba rais Samia Suluhu kupitia wizara ya elimu kutuma timu ya uchunguzi juu ya mwenendo wa walimu hao pamoja na kaimu afisa elimu.
Kati ya hao watajwa wewe ni yupiAcha umbeya mtoto wa kiume utapakatwa wewe