DOKEZO Kashfa afisa elimu Longido, walimu ni Ngono na ulevi

DOKEZO Kashfa afisa elimu Longido, walimu ni Ngono na ulevi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hakuna kazi Ina watu wapumbavu kama walimu.
Kwamba ni wapumbavu !? Hilo hapana sio wapumbavu sababu ukisha waita walimu wapumbavu maana yake hata wewe pia ni mpumbavu sababu hao unao waita wapumbavu ndio walio kufundisha hata wewe

Ila tabia zingine hizo za kuchongeana na kusemana wao kwa wao zipo
 
Ulimuelewa aliposema kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake?
Ulimuelewa aliposema ficheni Siri a akatolea mfano wa ving'asti kuingia maofisini,unajua ving'asti ni akina nani,na unajua Kuna watu wanamslizanaga maofisini?
Tulia.
 
Baadhi ya walimu katika shule ya Sekondari Kitumbeine, wilayani Longido, akiwemo Makamu wa shule hiyo Renatus Mwijage, wamekithiri kwa ulevi na vitendo vya ngono kwa wanafunzi.

Madai ya tuhuma hizo yametolewa na baadhi ya wananchi wilayani humo baada ya kulio chao kutosikilizwa , wakimlalamikia kaimu afisa elimu sekondari wilayani hapo,Gilbert Sombe kwa kufumbia macho matukio na mwenendo walimu hao ambayo yanatishia kudhorotesha maendeleo ya shule hiyo.

Taarifa zaidi zimedai kwamba makamu wa shule hiyo, Renatus Mwijage, amekuwa akifanya jitihada za kusaka nafasi ya ukuu wa shule baada ya kufanikiwa kumrubuni kwa fedha kaimu afisa elimu huyo ambaye alimemwahidi kumpatia nafasi hiyo katika moja ya shule wilayani hapo.

"Afisa elimu anatuhumiwa kula fedha za baadhi ya walimu akiwemo Renatus ambaye anadaiwa kutoa sh,milioni 5 ili kupatiwa ukuu wa shule"

Pia mwalimu Petro Mosses ambaye alihamishiwa katika shule ya sekondari Kitumbeine kutoka shule ya sekondari Longido akituhumiwa kufanya ngono na baadhi ya wanafunzi wake na wengine kuwapachika mimba.

Wazazi wanadai kuwa idara ya elimu imeshindwa kuwachukulia hatua walimu hao kwa sababu kaimu afisa elimu anawakumbatia kwa sababu amekuwa akichukua fedha na kuwaacha wafanye uchafu wao bila kukamewa.

Mwalimu mwingine chapombe ni ,Vickta Bayo ambaye anatajwa ndio kinara wa ulevi ambapo amekuwa akilewa muda wote wa kazi na wakati mwingine anajikojilea barabarani na kushindwa kufundisha darasani jambo ambalo kaimu afisa elimu analalamikiwa kwa kishindwa kuchukua hatua kiasi cha baadhi ya wazazi kuhoji ukaribu wa walimu hao na kaimu afisa elimu huyo.

Mwalimu Petro anatuhumiwa kutengeneza akaunti feki inayochafua viongozi mitandaoni na ana line feki inayotumika kuwatumia ujumbe baadhi ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wazee na watoto , akidai shule hiyo kuna ukatili wa kutisha kwa wanafunzi unafanyika na pia kuwachongea viongozi wilayani hapo wakiwemo wakuu wa shule.

Wamemwomba rais Samia Suluhu kupitia wizara ya elimu kutuma timu ya uchunguzi juu ya mwenendo wa walimu hao pamoja na kaimu afisa elimu.
Walimu ni watu wa hovyo sana
 
Sawa mwalimu wa apo shule tutawafukuza wote ubaki ww

Karma is real huna mda mrefu apo kazini

No one is perfect ila usimuongolee ubaya mwenzako wakati yako yamejaa.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Na imani watakuwa wametuelewa sana huwa wanajiona wao wana akili sana kuliko kada nyingine kisa wamesoma Philosophy wanakuja kutuletea mtaani humu
 
Baadhi ya walimu katika shule ya Sekondari Kitumbeine, wilayani Longido, akiwemo Makamu wa shule hiyo Renatus Mwijage, wamekithiri kwa ulevi na vitendo vya ngono kwa wanafunzi.

Madai ya tuhuma hizo yametolewa na baadhi ya wananchi wilayani humo baada ya kulio chao kutosikilizwa , wakimlalamikia kaimu afisa elimu sekondari wilayani hapo,Gilbert Sombe kwa kufumbia macho matukio na mwenendo walimu hao ambayo yanatishia kudhorotesha maendeleo ya shule hiyo.

Taarifa zaidi zimedai kwamba makamu wa shule hiyo, Renatus Mwijage, amekuwa akifanya jitihada za kusaka nafasi ya ukuu wa shule baada ya kufanikiwa kumrubuni kwa fedha kaimu afisa elimu huyo ambaye alimemwahidi kumpatia nafasi hiyo katika moja ya shule wilayani hapo.

"Afisa elimu anatuhumiwa kula fedha za baadhi ya walimu akiwemo Renatus ambaye anadaiwa kutoa sh,milioni 5 ili kupatiwa ukuu wa shule"

Pia mwalimu Petro Mosses ambaye alihamishiwa katika shule ya sekondari Kitumbeine kutoka shule ya sekondari Longido akituhumiwa kufanya ngono na baadhi ya wanafunzi wake na wengine kuwapachika mimba.

Wazazi wanadai kuwa idara ya elimu imeshindwa kuwachukulia hatua walimu hao kwa sababu kaimu afisa elimu anawakumbatia kwa sababu amekuwa akichukua fedha na kuwaacha wafanye uchafu wao bila kukamewa.

Mwalimu mwingine chapombe ni ,Vickta Bayo ambaye anatajwa ndio kinara wa ulevi ambapo amekuwa akilewa muda wote wa kazi na wakati mwingine anajikojilea barabarani na kushindwa kufundisha darasani jambo ambalo kaimu afisa elimu analalamikiwa kwa kishindwa kuchukua hatua kiasi cha baadhi ya wazazi kuhoji ukaribu wa walimu hao na kaimu afisa elimu huyo.

Mwalimu Petro anatuhumiwa kutengeneza akaunti feki inayochafua viongozi mitandaoni na ana line feki inayotumika kuwatumia ujumbe baadhi ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wazee na watoto , akidai shule hiyo kuna ukatili wa kutisha kwa wanafunzi unafanyika na pia kuwachongea viongozi wilayani hapo wakiwemo wakuu wa shule.

Wamemwomba rais Samia Suluhu kupitia wizara ya elimu kutuma timu ya uchunguzi juu ya mwenendo wa walimu hao pamoja na kaimu afisa elimu.
Profesa Adolf Mkenda , mfumo unaotumika kuwapata na kuwateua maafisaelimu wa mikoa na wilaya ni mbovu na umenuka rushwa.
Pili uwepo wa idara mbili za elimu ndani ya halmadhauri moja nibupotevu wa fedha za walipa kodi
Tatu, iwapo utafanikiwa kufuta mtihani ya darasa la saba moja kwa moja ondoa idara mbili za elimu zilizopo na unda idara moja tu ya elimu
Mwisho , uteuzi wa maafisaelimu uwepo na uunganishwe na interview ys written na oral ili kupata watumishi makini
 
Back
Top Bottom