DOKEZO Kashfa afisa elimu Longido, walimu ni Ngono na ulevi

DOKEZO Kashfa afisa elimu Longido, walimu ni Ngono na ulevi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Profesa Adolf Mkenda , mfumo unaotumika kuwapata na kuwateua maafisaelimu wa mikoa na wilaya ni mbovu na umenuka rushwa.
Pili uwepo wa idara mbili za elimu ndani ya halmadhauri moja nibupotevu wa fedha za walipa kodi
Tatu, iwapo utafanikiwa kufuta mtihani ya darasa la saba moja kwa moja ondoa idara mbili za elimu zilizopo na unda idara moja tu ya elimu
Mwisho , uteuzi wa maafisaelimu uwepo na uunganishwe na interview ys written na oral ili kupata watumishi makini
Unataka cheo tu[emoji2]
 
Longido kulivyo na baridi na ukame na kulivyo bush hao walimu watakuwa na stress sana.

Mazingira ya kazi yakiwa magumu wanaitafuta faraja penye pombe na papuchi za madenti wao vigoli[emoji1787]
 
5M kuwa mkuu wa shule akiutaka U-DEO si atatoa 100M

Mkuu wa shule ana privilege gani zaidi ya posho ya 250k?
Mkuu halmashauri zote siku vyeo vinatafutwa kwa kuhonga.

Watu wanatoa hata milioni 3 anaenda kopa huko kati.

Wengine ka waganga wa kienyeji ndio zao wanapiga root Ile mbaya.

Tangu walete posho kwa hao wakuu wa shule rushwa na ushirikina umeongezeka zaidi
 
Hivi unapata hata muda wa kuifikiria familia yako kweli au kufanya jambo la maana katika maisha yako?mtu ambaye uko busy na maisha yako unapataje muda wa kukusanya umbea wote huu?na bila hata kuuchuja? Au unapataje muda wa kutunga uongo wote huu? Unafaidika na nini? Kweli uchawi si kuwanga usiku tu.🥺🥺🖐
 
Kitendo cha wananchi kumuomba Raisi Samia achunguze shule ya sekondari kinaonyesha jinsi watu walivyo wapumbavu na hakuna hata siku watapata maendeleo, mkuu wa wilaya, polisi, wazazi, kamati ya shule, wananchi etc wote wanafanya nini mpaka Raisi ahusike?ifike hatua watu wawajibike na kudai haki zao kwa nguvu zao na akili sio kila kitu kusubiri mpaka mtu fulani aje, wazazi hapo mnahusika na shule yenu na watoto wenu piganeni
 
Back
Top Bottom