Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Makanisa siku hizi ni vichaka vya wezi, malaya na wauajiApo inaonekana ata kanisa walikua hawajui,huo ukanda eneo la ranch ya taifa ni kubwa,wangemleta surveyor wa serikali kwanza ,kuwajulisha Kama eneo lote ni salama ,au ranch imepitia
Kwa hiyo Jemima Mrembo hilo eneo ndio analotangaza bwana Charles Hilali kuwa ni mali ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar tangu mwaka 1977 lililopo makurunge Bagamoyo?Makanisa siku hizi ni vichaka vya wezi, malaya na wauaji
Wamejazwa Imani wakaiva hawana tofauti na wale waumini wa Shakahola na mchungaji wao MacKenzie.Hao waumini mbona ni kama mazezeta fulani hivi, wanauziwaji viwanja wasivyoviona?
Ndio iwe miaka 12?Si muumini wa kanisa hilo lakini naamini huwezi tapeliwa mpaka hapo. Umelipa 500,000 kwenye akaunti inayofahamika ya taasisi, jina la akaunti uliandika la taasisi, una bank slip ya malipo yenye mhubiri wa kupokea pesa kwa tarehe husika. Unatapeliwaje?
Kuna upande haujafanya kazi yake vizuri au kanisa ndio limetapeliwa na kwa vyovyote litawajibika kuwarejeshea pesa endapo mambo hayataenda sawa. Unaweza kuta taasisi ndio imepigwa na wahuni ingawa yawezekana walikuwa na nia nzuri tu kuelekea waumini wake
Ila ikiwa pamoja na ushahidi mlio nao kanisa limekataa kuhusika na mpango huo, hapo mtakuwa na haki ya kuilaumu taasisi ya dini kwa utapeli.
Hapo ndio pana shida. Sema pesa zinazopigwa na taasisi za dini hata kama kulikuwa na makosa yaliyo nje ya uwezo wao huwa ni shida kurudi. Ila wakiamua kukomaa bila kuonea huruma mambo yanakaa sawa. Shida wanaoonekana kutapeliwa ni waumini wa kanisa husika hivyo wanaogopa kuchukua hatua za sheria kwa uongozi na kanisa lao. Vinginevyo lingekuwa liliisha kitamboNdio iwe miaka 12?
Kwa hiyo hizo sharika tano za Dar ndio zinakufanya uipakazie Dayosisi nzima ya Mashariki na Pwani? It's not fair.
Malipo ya mauzo ya mashamba hayo yalifanyika kupitia account za kanisa hilo
Badala ya "...akaunti za kanisa hilo..."Hujasoma hii sentensi?
So sadKanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Mashariki na Pwani limeingia kwenye kashfa kubwa ya utapeli baada ya makanisa yake ya Kijitonyama, Salasala, Mwenge, Ubungo na Mbezi Beach kuwauzià waumini wake mashamba feki yaliyopo Bagamoyo.
Mashamba hayo yenye zaidi ya heka 15,000 yalikuwa yakiuzwa kwa shilingi laki tano na sitini elfu kwa heka ambapo heka zote zilizopangwa kuuzwa ziliuzwa na baadhi ya waumini wengine hadi leo hawajawahi kupewa wala kuonyeshwa mashamba yao.
Malipo ya mauzo ya mashamba hayo yalifanyika kupitia account za kanisa hilo, kumbe ardhi inayouzwa ni mali ya Ranch za Taifa huku kanisa hilo likijua fika uhuni huo.
Katika kijiji cha Fukayose, Ranch imesema itaachia heka mia tu kwa kijiji. Kwenye kijiji cha Fukayose Ranch ina heka 3000.
Heka nyingine zimesambaa kwenye vijiji mbalimbali wilayani Bagamoyo.
View attachment 2639510
Ardhi bila document halali ni utapeli tuHuenda kuna kitu zaidi. Naamini taasisi kama hizi huwa zimejipanga
'Warutheli' wa africa mashariki ndo kina nani MkuuNiliwahi kuipenda sana KKKT sana tuu. Ila malasusa na Genge lake kwanza walianzisha sadaka zisizo na mpangilio then wakaja kupora kiti cha mtu huku konde nimejiunga na warutheli wa africa mashariki na naendelea kumuabudu Mungu kwa furaha na uhuru
Kuna makanisa mengi ya kirutheli duniani. Tanzania tunayo mawili kanisa la kiinjili la kirutheli Tanzania na kanisa la kirutheli africa mashariki KKAM'Warutheli' wa africa mashariki ndo kina nani Mkuu
So sad
So sad
Mama hopeless kabisaKashfa nzito kwa nchi ni hii hapa wala siyo hiyo
View attachment 2644429
Tuelewane, maoni yangu siyo ya KIBAGUZI.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Mashariki na Pwani limeingia kwenye kashfa kubwa ya utapeli baada ya makanisa yake ya Kijitonyama, Salasala, Mwenge, Ubungo na Mbezi Beach kuwauzià waumini wake mashamba feki yaliyopo Bagamoyo.
Mashamba hayo yenye zaidi ya heka 15,000 yalikuwa yakiuzwa kwa shilingi laki tano na sitini elfu kwa heka ambapo heka zote zilizopangwa kuuzwa ziliuzwa na baadhi ya waumini wengine hadi leo hawajawahi kupewa wala kuonyeshwa mashamba yao.
Malipo ya mauzo ya mashamba hayo yalifanyika kupitia account za kanisa hilo, kumbe ardhi inayouzwa ni mali ya Ranch za Taifa huku kanisa hilo likijua fika uhuni huo.
Katika kijiji cha Fukayose, Ranch imesema itaachia heka mia tu kwa kijiji. Kwenye kijiji cha Fukayose Ranch ina heka 3000.
Heka nyingine zimesambaa kwenye vijiji mbalimbali wilayani Bagamoyo.
View attachment 2639510
Hatoi ushirikianoMh
Mmeenda kuwadai ufafanuzi kanisani wakasemaje?
Wabanwe.Hatoi ushirikiano