Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi mlitoa sadaka na siyo manunuzi ya Aridhi kama mnavyo dai, kanisa linajua hizo pesa zilikua sadaka tu! La sivyo liburuzeni kanisa lenu mahakamani labda mtapata haki yenu!!Ufafanuzi upi? Miaka 12 sasa kanisa halina mashamba ya kuwaonyesha walio yanunua? Yaani watu waliuziwa mbuzi kwenye gunia
Si wanaliamini sana kanisa lao!!Hao waumini mbona ni kama mazezeta fulani hivi, wanauziwaji viwanja wasivyoviona?
Ni organised crime hadi kwenye vyombo vya serikaliWabanwe.
Wezi hao
Basi tatizo ni CCM.Ni organised crime hadi kwenye vyombo vya serikali
Nimesha acha kusaliSi wanaliamini sana kanisa lao!!
Alishanishawishi ninunue ,mjanja janja sanaUsharika wa Mwenge tukutane hapa. MCHUNGAJI KANANSIA ndio alikuwa kinara wa udalali wa utapeli huu
Malasusa anaongoza kundi la weziWabanwe.
Wezi hao
Ndo maana karudi kuongoza tena.Malasusa anaongoza kundi la wezi
Very sadNdo maana karudi kuongoza tena.
Tamaa ya madaraka ni ulafi