Kashfa kwa Vatikan na kwa kanisa la Romani Katoliki

Kashfa kwa Vatikan na kwa kanisa la Romani Katoliki

This is a global issue! Imani ni suala la mtu binafsi na Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi. Juzi KKKT Marekani wamesimika askofu shoga; Anglican ndio usiseme. Hata kwa ma mdogo nako ni balaa tupu! Zikitolewa ripoti hapatakalika. Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo ndugu.
Marekani kuna KKKT?
 
Ukristo haukuwahi kuwa dini..ni busness group's la wakoloni .
Kinachoufanya usiwe dini ni kitu gani? Na ipi hasa ni dini unayoamini wewe ni ya kweli tukiifuata content ya ulichoandika hapo juu?
 
Kwani waliooa huwa hawadhalilishi watoto? Wote waliopatikana na hatia ya kunyanyasa watoto kingono ni makasisi tu. Useja ndiyo upadre na useja ukimshinda Padre anakaa pembeni. Kosa halibadili kanuni na sheria. Acha hizo
Mkuu Kolola; Hebu mwongezee na hili - Je. hajawahi sikia/soma Baba aliyemlawiti mtoto wake wa kiume wa kumzaa mwenyewe??? Je, hasomi habari za Waalimu na wanafunzi wao huko mashuleni?? Mimi nadhani Ifike tu mahali tuone ni Kosa na tuiache sheria ichukue Mkondo wake. Hivi ukiulizwa: Ni kipi kibaya zaidi- Kuua(e.g.kutoa mimba au kupoteza watu) na kudhalilisha mtoto?
 
This is a global issue! Imani ni suala la mtu binafsi na Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi. Juzi KKKT Marekani wamesimika askofu shoga; Anglican ndio usiseme. Hata kwa ma mdogo nako ni balaa tupu! Zikitolewa ripoti hapatakalika. Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo ndugu.
Naona unajaribu kukipilizia kinyesi manukato "Pafyumu"
 
Mtu anionyeshe fungu lolote la Biblia linaloruhusu watu kulawiti au kufanya ushoga.
Zaidi sana kuna mafungu takribani saba yanayokataza vitu hivyo and all forms of sexual perversion.
Sasa hao wakristu wanaofanya hayo kawaulizeni wanaamini kitabu kipi.
 
Mtu anionyeshe fungu lolote la Biblia linaloruhusu watu kulawiti au kufanya ushoga.
Zaidi sana kuna mafungu takribani saba yanayokataza vitu hivyo and all forms of sexual perversion.
Sasa hao wakristu wanaofanya hayo kawaulizeni wanaamini kitabu kipi.
Mkuu; Ukitafuta fungu linaloruhusu hiyo mambo hutokaa ulipate kamwe na halitakuwepo kabisa sio tu katika Biblia bali hata na vitabu vingine vyote vitukufu e.g. Quran au katika Mila na desturi za Jamii yoyote ile. Hiyo kitu HAIKUBALIKI. Kwa hiyo usijisumbue kutafuta fungu lolote eti linaloruhusu.... - HAMNAGA hiyo kitu Mkuu. Labda tembelea "The Temple of Satan"
NB: Hao Wakristu wanaofanya hayo ni sawa (equally insane) na watu wengine wakosefu /wachafu wanaofanya hayo madudu bila kuwabagua kiimani.
After all Mkuu; zingatia kwamba Hakuna dhambi mpya i.e. Hayo unayodhani ni kosa kuuubwa sana yalishafanyika karne nyingi zilizopita hata kabla ya Yesu Kristo na Mtume Muhammad(SAW). Labda sema tu ni kwamba walioyafanya enzi hizo waliyafanya ki-Analogia zaidi, leo yanafanyika ki-Digitali. Lakini kitu ni kilekile.
 
Yametukia matukio mbalimbali fedheha na udhalilishaji wa kijinsia yenye kuwahusisha viongozi wa kidini wa kanisa Katoliki la Roma. Matukio haya ya aibu kubwa na ya kashfa za kingono yanawahusu vijana na watoto wenye umri wa chini ya miaka 18, wote wa kike na wa kiume yakiambatana na vitendo vya ubakaji ambayo yalianza kuibuliwa toka miaka ya 1950.

Baada ya kuwepo kwa ukimya wa muda mrefu kutoka kwa viongozi wa juu wa kanisa hili kubwa ulimwenguni kote, bado kuliendelea kuwepo kwa malalamiko na mashauri mengi ya kijinai yaliyokwisha kufunguliwa na familia za wahanga. Pamoja na hayo yote kutokea, bado mamlaka ya juu wa kanisa hili ulichokwisha kukijifanya ni kuomba tu msamaha wa jumla kwa wahanga pasipo hata kutaka kuwawajibisha wahusika ama kuonyesha nia ya kuwalipa fidia wahanga.

Leo imetolewa ripoti nchini Ufaransa kuhusu wahanga wapatao 330, 000 ambao waliathirika, ambao wanalihusisha dhehebu hili kubwa la Kikristo na lenye maarufu ulimwenguni kote.

Je! Mamlaka ya Vatikano inaguswa kwa dhati na kashfa hii ama itaweza kuja na kauli gani yenye kushawishi na kuweka mambo sawa?

Je! Hii kashfa kwa nini isiwe sababu ya kutengua kanuni za useja ili mapadri nao waruhusiwe kuoa ili kuepuka tamaa za kingono?
Waliohusika wawajibike. Kwani wanalazimishwa kuwa makasisi? Ili uwe kasisi kuna standards zake. Siamini kabisa katika kutafuta excuse
 
Yametukia matukio mbalimbali fedheha na udhalilishaji wa kijinsia yenye kuwahusisha viongozi wa kidini wa kanisa Katoliki la Roma. Matukio haya ya aibu kubwa na ya kashfa za kingono yanawahusu vijana na watoto wenye umri wa chini ya miaka 18, wote wa kike na wa kiume yakiambatana na vitendo vya ubakaji ambayo yalianza kuibuliwa toka miaka ya 1950.

Baada ya kuwepo kwa ukimya wa muda mrefu kutoka kwa viongozi wa juu wa kanisa hili kubwa ulimwenguni kote, bado kuliendelea kuwepo kwa malalamiko na mashauri mengi ya kijinai yaliyokwisha kufunguliwa na familia za wahanga. Pamoja na hayo yote kutokea, bado mamlaka ya juu wa kanisa hili ulichokwisha kukijifanya ni kuomba tu msamaha wa jumla kwa wahanga pasipo hata kutaka kuwawajibisha wahusika ama kuonyesha nia ya kuwalipa fidia wahanga.

Leo imetolewa ripoti nchini Ufaransa kuhusu wahanga wapatao 330, 000 ambao waliathirika, ambao wanalihusisha dhehebu hili kubwa la Kikristo na lenye maarufu ulimwenguni kote.

Je! Mamlaka ya Vatikano inaguswa kwa dhati na kashfa hii ama itaweza kuja na kauli gani yenye kushawishi na kuweka mambo sawa?

Je! Hii kashfa kwa nini isiwe sababu ya kutengua kanuni za useja ili mapadri nao waruhusiwe kuoa ili kuepuka tamaa za kingono?
Tamaa ya kingono haiwezi kumalizwa kwa kuruhusiwa kuoa, believe me.......bado utataka uwe na michepuko huku na kule.
 
bcoz the end of false religions is near, na haya yatatokea na kuendelea kutokea zaid na zaid, maana mwisho u karbu, na ili ufike hayana budi kutokea ili kuudhihirisha umma wa mtu mweusi ubaya wa izo iman za kigeni, haya mambo yalishatabiliwa ktk maandiko ya kweli(achana na hayo mauongo yenu yaliyokopiwa mnaita biblia).

huyo mrumi pamoja na wadogo zake wakina Islamic, ruthelan, morevaian,wasabato, wangrikana, walokole na takataka zote zilizojipa malmaka ya dini&imani tokea kwa mama yao Catholic lazma zfike mwsho, na mwsho wao mbaya na hauzuiliki ndiomaana huon nguvu za papa na wapumbv wenzake wakihangaika kuzuia, sababu kwenye mapango yao ya vitabu vya sili walivyoiba afrika, yanaonesha tabili juu ya haya yatokeayo na yatakayotokea, hayana mpinzani lazma yatokee.

shida ni kwa wew mtu mweusi kung'ang'ania kuusafisha ukatoric wako, uislam wako, ama ukristo wako kwakuleta visingizio vya maandiko, ijapokuwa unaona mapungufu ya imani yako, hutak kubadirika, unakaza shingo.

niwaambie ukwel, wale woote wanaopinga mafundisho ya kuurudia ukuu wa afrika na imani za kwel za afrika(sio mizimu), hawa wote ndyo watahukumiwa pamoja na shetan kwa mujibu wa biblia zenu mnavyomuita, pia mtatupwa ktk shimo la usahaulifu(jehanamu ya moto kwa mujibu wafundisho yenu ya uongo).

hakuna moto wala jehanamu, ukwel mchungu, na ndio ujue kwanzia sasa,

dini sio Mpango wa Muumba kuwepo,.ndiomaana zmejawa mikanganyiko, na uongo mwngi, pia hivyo vitabu vyenu, si Neno la Mungu maana vimejawa stori za uongo na mikanganyiko ya kujipinga vyenyewe, anaebisha na abishe lkn naweza mpa swali hapa akachemka na akenda mpka kwa kiongoz wake wa dini kitaifa na kidunia kamwe hatokupa majibu sahih ya mikanganyiko zaid ya kuleta vitisho kuwa Mambo ya Mungu hayachunguziki.

amkeni waafrik dini hazina maana kwako, hazina mchango kwako wala ukomboz, ile raha unayofeel ukiw kanisani na kujiona mwema, ile ni demonic feeling unapata baada ya kuamini uwepo wa nguvu zao huko makanisani, ili kukutrick usitoke ktk uo uongo wa dini.

Muumba wa kwel haabudiwi ktk makanisa, maana uwepo wa nguvu zake ni kila sehemu, na haitaji dini ili umjue, naishia hapa.View attachment 1966149
Ebu leta hilo swali ambalo kwa akili yako unazan halina jibu na kumbe jibu lipo
 
Tamaa ya kingono haiwezi kumalizwa kwa kuruhusiwa kuoa, believe me.......bado utataka uwe na michepuko huku na kule.
Kuoa kuna faida nyingi zaidi kuliko kutokuoa.Wakiruhusiwa kuoa kwa kiasi kikubwa watapunguza huu ujinga unaoendelea kwao.kwahiyo itabaki kua tatizo la mtu binafsi.ila kwasasa utaratibu wao wa useja unachagiza zaidi kushamiri kwa hivyo vitendo.Mungu hakua mjinga kutuletea wanawake.
 
This is a global issue! Imani ni suala la mtu binafsi na Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi. Juzi KKKT Marekani wamesimika askofu shoga;

Anglican ndio usiseme. Hata kwa ma mdogo nako ni balaa tupu! Zikitolewa ripoti hapatakalika. Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo ndugu.
 
Back
Top Bottom