bcoz the end of false religions is near, na haya yatatokea na kuendelea kutokea zaid na zaid, maana mwisho u karbu, na ili ufike hayana budi kutokea ili kuudhihirisha umma wa mtu mweusi ubaya wa izo iman za kigeni, haya mambo yalishatabiliwa ktk maandiko ya kweli(achana na hayo mauongo yenu yaliyokopiwa mnaita biblia).
huyo mrumi pamoja na wadogo zake wakina Islamic, ruthelan, morevaian,wasabato, wangrikana, walokole na takataka zote zilizojipa malmaka ya dini&imani tokea kwa mama yao Catholic lazma zfike mwsho, na mwsho wao mbaya na hauzuiliki ndiomaana huon nguvu za papa na wapumbv wenzake wakihangaika kuzuia, sababu kwenye mapango yao ya vitabu vya sili walivyoiba afrika, yanaonesha tabili juu ya haya yatokeayo na yatakayotokea, hayana mpinzani lazma yatokee.
shida ni kwa wew mtu mweusi kung'ang'ania kuusafisha ukatoric wako, uislam wako, ama ukristo wako kwakuleta visingizio vya maandiko, ijapokuwa unaona mapungufu ya imani yako, hutak kubadirika, unakaza shingo.
niwaambie ukwel, wale woote wanaopinga mafundisho ya kuurudia ukuu wa afrika na imani za kwel za afrika(sio mizimu), hawa wote ndyo watahukumiwa pamoja na shetan kwa mujibu wa biblia zenu mnavyomuita, pia mtatupwa ktk shimo la usahaulifu(jehanamu ya moto kwa mujibu wafundisho yenu ya uongo).
hakuna moto wala jehanamu, ukwel mchungu, na ndio ujue kwanzia sasa,
dini sio Mpango wa Muumba kuwepo,.ndiomaana zmejawa mikanganyiko, na uongo mwngi, pia hivyo vitabu vyenu, si Neno la Mungu maana vimejawa stori za uongo na mikanganyiko ya kujipinga vyenyewe, anaebisha na abishe lkn naweza mpa swali hapa akachemka na akenda mpka kwa kiongoz wake wa dini kitaifa na kidunia kamwe hatokupa majibu sahih ya mikanganyiko zaid ya kuleta vitisho kuwa Mambo ya Mungu hayachunguziki.
amkeni waafrik dini hazina maana kwako, hazina mchango kwako wala ukomboz, ile raha unayofeel ukiw kanisani na kujiona mwema, ile ni demonic feeling unapata baada ya kuamini uwepo wa nguvu zao huko makanisani, ili kukutrick usitoke ktk uo uongo wa dini.
Muumba wa kwel haabudiwi ktk makanisa, maana uwepo wa nguvu zake ni kila sehemu, na haitaji dini ili umjue, naishia hapa.
View attachment 1966149