Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

Status
Not open for further replies.
Nyani angalia hii thread ilianzishwa na nani....? utapata jibu wengine tulishajua penye moshi....

Ni kweli aliengoea kuwa Zitto anafukuzia wanawake walewale na CCM wakti wa Bunge ni Mugongonwa Mungongo. aliandika hapa. Inaelekea alikuwa na taarifa kamili ya mambo haya ndiyo maana alikuwa miongoni mwa wanaforum wa kwanza kwana kuipata stori hii. Forum hii nzuri kweli; mtu unapata mambo live hata yale yasiyopatikana magazetini.
 
Mugongo Mugongo ni mtu hatari sana njua Mwanakijiji unafahamu undani wake ila sidhani kama unajua in details. Kwa taarifa yenu mgongo mugongo na mwenzake mmoja ndiyo walionifanya nipunzike kidogo kwani niligundua kuwa napambana na taifa kubwa. Hebu mugongo mugongo tupe motive ya Nchimbi kufanya aliyofanya ni chama kimemtua au kundi fulani la watu. Amina amesema haogopi kufukuzwa chama kwangu mimi huo ni ujumbe mkubwa sana. Pia amesema yeye siyo kiongozi wa ndiyo mzee. Mugongo mugongo tupe details.
 
AC amebore!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Anatudhalilisha bwana....sasa nitagombeaje ubunge??? (Si Mr ataclaim kwamba na mimi nitaenda kugawa???????????? (joking)
Hii kali, na inatisha ila haka kabinti kamenibore kwa nini kanaendesha ndoa na magazeti...
Umaarufu anaoutaka utammaliza!
 
Mama Lao tafadhali ungombee ili ukawe "Matron" wa mabinti hawa uwafundishe maadili yanayowataka "kubana mapaja" yao kulingana na nyadhifa walizo nazo.
 
Saa nyingine wanawake tunajidhalilisha wenyewe.....hivi chupi lazima akavulie bungeni??? To so many people?????????????????? Lakini she is still a young girl sasa sijui jamaa walikuwa wanavaa C au kavu kavu. Ukimwi utaisha kweli???
Kwa kweli "amebore" ametupaka matope sana. She is setting a bad precedent to other young women who would like to be politicians in future!!!
Na babake naye....ahaa..ndoa ya mwanao ukatangaze gazetini. I think the family needs counselling they are taking this too far!!!
 
With due respect, Mugongomugongo anasema kweli.

Mzee Chifupa ni bogus kama alivyo mwanae. Wanapenda publicity sana. Ni ukosefu wa shule ndio unawagharimu, kuanzia mama Chifupa, Mpakanjia, AC na Mzee C. Wooote shule zero!!!!

Safi sana Nchimbi!!

Naona tunarudia rudia tuuu mambo hamna jipya, hii topic ningependa iende kwenye UDAKU.

FD
 
hakuna anayemtetea zitto kama mbunge...lazima tumtendee haki,ushahidi uliopo HAPA hautoshi kumtia hatiani...ni ushahidi wa kusikia .unless yeye mwenyewe atakuja hapa akiri au akikataa kukiri tupate evidence nzito....
sasa nashangaa sana unless kama "ndugu yangu" wewe ndio ulimshikia ZITTO miguu....
hapa kuna option hizi:-
labda ukweli wametifuana kweli,kwa hiyo nchimbi kaumia kwa sababu
kashawahi kula au mabosi zake
labda ni mbinu ya kumaliza zitto
au mbinu ya kumzuia amina asigombee uchairperson
pia inawezekana meddy nae alikuwa akimtafutia sababu baada ya kusikia
mengi...

so lets be fair and take this issue under careful scrutiny...
 
hizo ndizo politics za bongo mara zote huwa hazinyooki,lakini nyepesi nyepesi ni kwamba hiyo ni mfumo kuelekea uchaguzi wa uvccm 2008,kama mnakumbuka miaka sita iliyopita lile kasheshe la nchimbi na dada mmoja mwandishi wa habari aitwaye jane mihanji kule tabata,bado nasoma magazeti ya leo kuhusu sheshe hilo,lakini nitachangia mjadala baadaye.ebu someni habari hii ya majira

http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=2830
 

Twist nyingine iko hapa
 
Mswahili,

Brown alijiuzulu kwasababu kaidanganya mahakama. Blunkett pia alitumia
cheo chake kumpendelea house girl wa huyo kimwana wake.

Hizo ni cases tofauti kabisa na hii ya sasa. Hii haina public interests zaidi ya kujua wabunge wetu wanautumiaje muda wao wa zaida huko bungeni.

Kosa la kabwe hapa ni kutembea na mke wa mtu. Hili ni kosa lake na mume wa huyo mama na pia ni kosa lake na chama chake kama kinajua ethics kama alivyosema Mwanasiasa, vinginevyo tuendelee kufurahia huu udaku.

Ila kujitetea kwa Zitto kunatia walakini. Hakuhitaji kusema yote aliyoyasema.
Alitakiwa kukanusha tu na kuendelea na mambo yake.

Hili jambo linanuka uchafu wa siasa. Kila mtu anajua bungeni ngono ni kama kazi lakini hili la sasa nafikiri lengo ni kujaribu kummaliza AC. Na yeye kakosa mtu wa kumshauri, alitakiwa atulie mpaka siku yuko tayari kulipua bomu lake.
 



Kutoka katika Gazeti la Mwananchi
 
Sam: kabla ya kumtaka JK amuondoa Nchimbi, inabidi kwanza tujiulize are they different?
 
Mwanasiasa ukigombea URAIS au UBunge nijulishe nikuchangie fedha ya Kampeni
wewe kwa fedha gani uliyonayo?Unapenda kuyavalia njuga ya wenzio mbona yako huyataji hapa ambayo ni machafu zaidi ya haya,wengine siwajui Lakini Kutokana ninavyomfahamu huyu bwana ninahakika wengi wetu tunamachafu yetu Lakini hatuyaoni tunaona ya wenzetu.Sitetei yaliyofanyika LAKINI sioni sababu ya wale wanayofanya kama hayo au zaidi ya hayo kushabikia hili badala ya kuomba msamaha kwa waliwatendea na kwa mungu muumba.Unapomnyoshea mwezio kidole basi ujue dole gumba nalo linakunyooshe wewe.Ni nani kati yetu aliyemsafi ainue kipande cha jiwe kuwatupia watuhumiwa hawa.
 
sam umesema Mugongo Mugongo ni mtu hatari sana ? hebu fafanua . najua kundi lake hapa ni lipi na uhatari wake naujua ila sikujua kama ni mtu hatari sana . Yeye na kundi lake wanalia na Chadema tu . Wameleta habari kwa shangwe bila ya kujiuliza kama ni faida kwa CCM ama hasara . Hawakuza kabla kuandika .
Lete file la Nchimbi na hasa kuu ya mauaji ya Ippy .
 
Wakuulizwa hili ni Mzee ES(A.K.A SAM ORIGINAL,Mh. Mbunge).
 

kwa taarifa yako zilianzishwa TOPIKI NNE na zote ama zilifutwa au kuunganishwa kule kwenye ile thread ya MBOWE kwa kisingizio kuwa eti zinaendana

Of course wenye BARAZA LETU tukasema hii haiwezekani kuachwa ili hali ni muhimu..ndo waheshimiwa wakakubali kuirudisha hii topiki

unajua saa zingine haya mambo ya kuingiliwa wakati yanaboa cha muhimu walitakiwa waache tu watu waendelee na mambo yao hapa kijiweni
 
Wajumbe wa JF;Tuache longolongo....Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Kaskazini(2005-2010),anatakiwa ajiuzuru ili kulinda heshima ya Chama.Inakuaje asinginziwe yeye na sio wengine.Nyerere alisema hata kutuhumiwa tu ni kosa.
Naomba kutoa hoja.
 
Alles, Inategemea tuhuma zinaanzishwa na nani,unategemea CCM wamtuhumu kiongozi Chadema halafu kwa kuwa Nyerere alisema `hata kutuhumiwa ni kosa` basi aondoke. Mtiririko wa kihistoria unajionyesha wazi kuhusu tabia za wote wawili kimaadili.Mpeni nafasi Zito atuweke sawa ktk hili.
 
Kwa kupenda UDAKU.....

Mtu ajiuzulu kisa kuna udaku umeandikwa???!

FD
 
hahahah aisee hii tamu sana CCM 0 Chadema 1. Chifupa inaelekea kutoa game hana noma wacha na mimi nitafute ubunge wa songea mjini labda ntazimpompa pompa bi amina
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…