KASHFA: Polisi wa Buguruni Dar, wadaiwa kudhulumu kilo 800 za nyama na kugawana

KASHFA: Polisi wa Buguruni Dar, wadaiwa kudhulumu kilo 800 za nyama na kugawana

Mara ya mwisho mkuu aliwambia kuwa anaridhika na kazi wanayofanya. Aliyasema pale Kilwa Road wakati anawahutubia. Najua kuwa anajua kuwa ni vibaka lkn anajua pia kuwa walimsaidia sana kwenye zoezi la uchaguzi
 
Hivi unadhani wakikamata madawa ya kulevya au pesa nyingi za ujambazi uwa wanapeleka zote mahakamani?
 
Hata sishangai kwa mishahara ya hao askari kutapeli nyama ni haki yao, nao wamechoka kuwalisha watoto wao maharage kila siku.

Sasa kama askari wamegeuka wezi wao wakamatwe na nani?

VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo
 
Huyo afisa wa bodi ya nyama waliesema ni katili anaitwa imma ni yupi aliekamata nyama za watu ndani ya machinjio
Huyo msajili wa bodi ya nyama anaitwa Imani Sichalwe, namfahamu vizuri sana alikuwa mwalimu wangu chuo cha mifugo Tengeru, kwa kweli alikuwa katili tangu akiwa chuoni hapo, uliza mwananchi yeyote aliyepitia pale LITI TENGERU miaka ya 2000 na kadhaa atakupa habari! Ajirekebishe bwana gentleman kabisa unakuwa mpuuzi namna hiyo? Ni mtu anayeamini katika mabavu! Nafasi yenyewe kwanza kaipata kwa kubebwa, dadake alikuwa mkurugenzi hapo wizara ya mifugo ndiye aliyemmegea pande hilo!
 
Hata sishangai kwa mishahara ya hao askari kutapeli nyama ni haki yao, nao wamechoka kuwalisha watoto wao maharage kila siku.

Sasa kama askari wamegeuka wezi wao wakamatwe na nani?
Hakuna haki katika kudhulumu haki ya mtu, hata wangekuwa wanalipwa mshahara elfu 50, hiyo siyo sababu ya kudhulumu au kuiba, wao wapambane na wakubwa wao want ngezewe mishahara. Ikishindikana wawe na subiria na moyo wa kutosheka.
 
Back
Top Bottom