KASHFA: Polisi wa Buguruni Dar, wadaiwa kudhulumu kilo 800 za nyama na kugawana

asa si naww watakuua tu
 
Si Waziri wa Mambo ya Ndani, RC, DC wala viongozi wa jeshi la Polisi watakaochukua hatua. Awamu hii ni ya hovyo kuwahi kutokea.
Ila biashara ya nyama pale vingunguti siyo ya zama hizi, ni vema ikakomeshwa
 
Hata kama huyo Imma wenu ni katili lakini ifike wakati uchafu uliopo Vingunguti ukomeshwe> Imma hana dada aliyewahi kuwa mkurugenzi
 
Hata kama huyo Imma wenu ni katili lakini ifike wakati uchafu uliopo Vingunguti ukomeshwe> Imma hana dada aliyewahi kuwa mkurugenzi
Humjui, naomba unyamazeeeee!!
 
Unahitajika UCHUNGUZI HURU. Hii ni fedheha kwa jeshi, japo watumishi wake wengi hawana maadili siku zote
 
Duuh makachero wamepotea na utumbo wa taulo na utumbo wa kitabu.Kweli alosto ya nyama sio mchezo.Mishahara iongezwe ndio suluhu.
 
Sote tunakubaliana kitendo kikichofanywa na askari hao ni cha kupingwa kwa nguvu zote.
Lakini pia ndugu zangu makosa ya askari wachache wasio na maadili hayalifanyi jeshi la polisi kuwa taasisi isiyo na maana (useless) ktk Nchi hii.

Tumekuwa na tabia ya kuliponda jeshi la polisi(kupitiliza)pale linapoibuka jambo lisilo la haki, ni kama vile tunaona polisi wote ni Wezi, wala rushwa, wauaji nk, sio sawa hilo.
Watu wapuuzi wapo ktk kila taasisi lakini haimaanishi taasisi husika ina nia ovu kama itendwavyo na wapuuzi wachache.

Jaribu kufikiria Kusiwepo na jeshi la polisi kwa mwezi mmoja tu uone Kama hata hiyo simu unayotumia kupost hapa Utathubutu kuitumia mchana.Tukemee wale wachache Tuache kulitukana jeshi na kuona halina faida.

Kwa upande wa Mayor amekosa cooperative management /leaderahip. Mayor na polisi wote ni serikali wanatawala kwa pamoja.
Naamini angeweza kulishughulikia jambo hili kwa mawasiliano na RPC ama IGP na likamalizwa kwa haki kabisa,kuliko kuliweka mbele ya camera na matamko yasiyo na tija.

Binafsi sijaona busara ya kiongozi kuweka nguvu kubwa ktk kuonesha umma changamoto zilizo ndani ya jeshi la polisi.Raia tukishachukia polisi itafaa nini ktk ustawi wa Nchi?
 
Hawa Police wa CCM njaa kali wanapora hadi nyama lah!!
 
Askari kwa sasa hivi wana njaa sana.
Walimuweka meko ila na wao wamepigika sana mpka wanaanza kuiba nyama za wananchi.
Wananchi hawana pesa ya kutoa rushwa.

Kiufupi mishahara ya askari haiwatoshi wanaishi kwa wizi rushwa kubambikia watu makosa etc.


Wananchi hawana pesa ukidai rushwa hana pesa anakupa buku 2
Wakome!
 
Nchi za ulaya wanatushangaa sana wanaposikia 'Polisi wamedhulumu Nyama' huenda hata huwa wana hamu waje watupasue ubongo ili wafanye ugunduzi kwenye mafuvu yetu ya viumbe hafifu wa "Homopolisiensis tanzaninses" huenda ndio tukafanywa kuwa the living missing link.
 
Asante mkuu twende Polepole!
Sawa, endelea kwwenda polepole peke yako, si na mimi. maana eleimu yako ndogo tu ya Tengeru tayari ushajua wakurugenzi wote na nmna makaimu wanavyoteuliwa kwa kubebwa. Endelea na mwendo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…