Kashfa: VETA yadaiwa kudorora kwa kiwango cha kutisha

Kashfa: VETA yadaiwa kudorora kwa kiwango cha kutisha

Taasisi inayofaa kujiendesha kwa kutengeneza faida kama VETA haistahili kulialia...waelekeze wa strategise kuingiza fedha..................VETA inaweza kuingiza fedha nyingi sana tena sio kwa kutegemea ADA pekee za hapo chuoni...wewe inaonekana ni miongoni mwao...kama mmeshindwa tunakuja kuwatoa hapo tulete watu wapya...Nyie VETA ni wa kulilia Ruzuku?. Kweli?
Core function ya VETA ni training na wala sio kuingiza fedha ila inatakiwa ipewe fedha kutoka sdl. Hiyo fedha kwa sasa haitolewi kama zamani bali inatilewa kidogo sana. Pamoja na hayo haijabadilisha kitu shida tu ni ucheleweshwaji wa fedha inabidi serikali wajipange sana
 
Core function ya VETA ni training na wala sio kuingiza fedha ila inatakiwa ipewe fedha kutoka sdl. Hiyo fedha kwa sasa haitolewi kama zamani bali inatilewa kidogo sana. Pamoja na hayo haijabadilisha kitu shida tu ni ucheleweshwaji wa fedha inabidi serikali wajipange sana
“To ensure quality vocational skills by providing, regulating, coordinating, promoting, and financing vocational education and training for national socio- economic development.”...Kwa hiyo ninyi mnaopaswa kufainensi mnalilia ruzuku?!! sure??!...yaani Regulator unategemea upewe ruzuku?! financier unategemea upewe ruzuku?? hamjifunzi kwa regulatory bodies zingine kama ewura tcra nk!?? wanapokea ruzuku hao....ninyi inabidi hapo mtolewe wote tulete watu wapya wenye akili mpya mshaota sugu ya ubongo
 
Taasisi inayofaa kujiendesha kwa kutengeneza faida kama VETA haistahili kulialia...waelekeze wa strategise kuingiza fedha..................VETA inaweza kuingiza fedha nyingi sana tena sio kwa kutegemea ADA pekee za hapo chuoni...wewe inaonekana ni miongoni mwao...kama mmeshindwa tunakuja kuwatoa hapo tulete watu wapya...Nyie VETA ni wa kulilia Ruzuku?. Kweli?
Mkuu mimi siko VETA wala sijawahi kuweko huko , mimi ni mfichua maovu tu kutoka JF

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Umeandika ujinga wa kiwango cha lami.
Taasisi inayofaa kujiendesha kwa kutengeneza faida kama VETA haistahili kulialia...waelekeze wa strategise kuingiza fedha..................VETA inaweza kuingiza fedha nyingi sana tena sio kwa kutegemea ADA pekee za hapo chuoni...wewe inaonekana ni miongoni mwao...kama mmeshindwa tunakuja kuwatoa hapo tulete watu wapya...Nyie VETA ni wa kulilia Ruzuku?. Kweli?
 
“To ensure quality vocational skills by providing, regulating, coordinating, promoting, and financing vocational education and training for national socio- economic development.”...Kwa hiyo ninyi mnaopaswa kufainensi mnalilia ruzuku?!! sure??!...yaani Regulator unategemea upewe ruzuku?! financier unategemea upewe ruzuku?? hamjifunzi kwa regulatory bodies zingine kama ewura tcra nk!?? wanapokea ruzuku hao....ninyi inabidi hapo mtolewe wote tulete watu wapya wenye akili mpya mshaota sugu ya ubongo
Nafikiri una shida sehem. Nimekwambia core function ya veta ni kutoa mafunzo. Hayo madude ya kugoogle sijui umeyatoa wapi.
Yenye jukumu la kuregulaye ni NATEVET
 
Ada ya mafunzo VETA ni 60,000/=kwa mwakakwa vyuo vya day. Sijui unasema wanaingiza fedha nyingi kutoka wapi
 
Noma sana !!
Piga simu hata sasa hivi Immigration HQ, inajibu kuwa jamaa hawajalipia huduma.

Ni uzembe au hakuna hela? Landline hizo, tunazomiliki wenyewe.

Kuna watu wanazurula na chopper kuangalia mitaa, mara mabwawa ya maji, mara kuhamasisha matumizi ya umeme na gesi, seriosly? Hivi kuna akawa na pesa akawa anapenda kupasua kuni?

Wanaupiga mwingi!
 
Piga simu hata sasa hivi Immigration HQ, inajibu kuwa jamaa hawajalipia huduma.

Ni uzembe au hakuna hela? Landline hizo, tunazomiliki wenyewe.

Kuna watu wanazurula na chopper kuangalia mitaa, mara mabwawa ya maji, mara kuhamasisha matumizi ya umeme na gesi, seriosly? Hivi kuna akawa na pesa akawa anapenda kupasua kuni?

Wanaupiga mwingi!
Eeee bhana eee !!

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kumbe VETA ni Chuo cha Taifa cha Ufundi? Nlkua sijui hili, anyway, kwan hao hawajalipwa mishahara kwan hao VETA Chang'ombe ndo wanalipa Mishahara au Serikali ndo inalipa? Au tumeamua tu kwamba tuichafue VETA?
 
Kumbe VETA ni Chuo cha Taifa cha Ufundi? Nlkua sijui hili, anyway, kwan hao hawajalipwa mishahara kwan hao VETA Chang'ombe ndo wanalipa Mishahara au Serikali ndo inalipa? Au tumeamua tu kwamba tuichafue VETA?
Hujaelewa au hutaki siri zenu zianikwe , unafahamu mfumo wa ajira wa VETA ?

Na kama tunaichafua kwanini msiisafishe ili mtuumbue ?
 
Hujaelewa au hutaki siri zenu zianikwe , unafahamu mfumo wa ajira wa VETA ?

Na kama tunaichafua kwanini msiisafishe ili mtuumbue ?
Sekondari na VETA wapi na wapi mie? Hoja yangu ni kweli hayo msemayo? Na je VETA kwan hawalipwi mshahara na Serikali kama sisi hadi hao watumishi wakae mda wrote huo bila kulipwa?
 
Sekondari na VETA wapi na wapi mie? Hoja yangu ni kweli hayo msemayo? Na je VETA kwan hawalipwi mshahara na Serikali kama sisi hadi hao watumishi wakae mda wrote huo bila kulipwa?
wafanyakazi wa VETA wengi wanafanya kazi kwa mikataba , ingia kwa wakufunzi wa shule ya madereva ujionee
 
Taarifa zinaonyesha kwamba baada ya kusoma uzi huu , Waziri Ndalichako alipanga leo Jumamosi 23/7/2022 kuongea na Wafanyakazi wa VETA lakini alivyopima hali halisi akaamua kuingia mitini .

JF INA NGUVU SANA !
 
Back
Top Bottom